Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna Member mmoja aliwahi kusema rubaman kisirisiri anaipenda Man Utd.

Angalia chama linavyotuburudisha leo

Nimeanza kuamini maneno yake.

kweli naipenda Man Utd mnatupa raha msimu huu. Mnavunja rekodi baada ya rekodi. Afu mnajipa matumaini kuwa msimu ujao mtarudi juu LOL.
 
Goli 1

Man Utd

18 years old Wilson ndio Mfungaji

Mtatukubali tuu msimu ujao
 
Hivi hamjapata kocha mpya? Nakumbuka Mndengereko alisema hadi tarehe 6 mngekuwa mmeshatangaza kocha mpya. Imekuwaje?
Naona mmefunga msije mkaanza kusema "we are back at it" ni kiji-Hull City tu hiki.
 
kweli naipenda Man Utd mnatupa raha msimu huu. Mnavunja rekodi baada ya rekodi. Afu mnajipa matumaini kuwa msimu ujao mtarudi juu LOL.


Si umeona raha kama hii aliyotupa "kinda" Wilson

Utd ni full raha tuu, bado vile "vifaa" havijakuja old traford bado
 
Hivi hamjapata kocha mpya? Nakumbuka Mndengereko alisema hadi tarehe 6 mngekuwa mmeshatangaza kocha mpya. Imekuwaje?
Naona mmefunga msije mkaanza kusema "we are back at it" ni kiji-Hull City tu hiki.

Mkuu suala la nani aakuwa kocha wa UTD huku hamna tena anayelizungumia {TV/Radio/Magazeti/Blogs}

Tayari Glazers wameshamalizana na muhusika, leo Giggs kabakisha mechi moja amkabidhi mwenyewe kiti chale

Okay leo unakiita ki-Hull City okay siku ya Final usije kusema mlikuwa mnacheza na "The Mighty Hull City"
 
Hivi hamjapata kocha mpya? Nakumbuka Mndengereko alisema hadi tarehe 6 mngekuwa mmeshatangaza kocha mpya. Imekuwaje?
Naona mmefunga msije mkaanza kusema "we are back at it" ni kiji-Hull City tu hiki.

tutakuwepo pale WEMBLEY kuwashuhudia mkipambana na kiji-Hull City.....Usisahau kiji-Birmingham kimekufanya usubiri kombe miaka 9 sasa.
 
tutakuwepo pale WEMBLEY kuwashuhudia mkipambana na kiji-Hull City.....Usisahau kiji-Birmingham kimekufanya usubiri kombe miaka 9 sasa.

Hahahaha tusubiri chochote kinaweza kutokea, Sunderland waliwafunga juzi Hull City labda nao wanaweza kupata bahati mabeki wetu wakajichanganya
 
Jitahidi mnaweza kuingia Europa League mwakani.

Hata tusipocheza Europa "Cavani" bado anataka kuja kuvaa jezi

Leo Bayern wameshaanza kukuweseka kuhusu Muller {umesikia walichomuambia}

Jiulize kwanini wachezaji wanataka kuja Old Trafford kucheza kwenye ligi tuu ?
 
Hahahahah 2 -0

Wilson Again
rubaman labda hatumuhitaji Cavani tena, Wilson yupo anatekeleza majukumu yake vizuri

18 years old anatafuta Hat Trick sasa

Watangazaji bana wameshaanza "Wilson for England Campaign"
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…