Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dirisha linafungwa kesho tarehe Moja, labda tutaona surprise ya LB, CB au striker
Yule palmer wa Chelsea tufanye namna awe replacement ya Bruno miaka ya badae kdg
acha kuota ndoto za mchana chelsea sio soko lile uyo dogo hauzwi hata mkiweza kukubaliwa kuuziwa hela yakumnunua parmer ineos labda wauze magari hela yote waweke kwenye kibubu miaka mitatu. au mumsubiri amalize mkataba 2033
 
Beki zile Tia maji Tia maji...Maguire kuna wakati anakuja anakataa, Shaw ni kama karoga vile na hata hivyo yeye ndio ana afadhali, Yule Dorgu physically Yuko fiti ila kuna maamuzi anaweza kufanya kama vile Hana Ubongo, Lisandro Martinez ni Beki mzuri hasa akiwa na mpira mguuni, Yaani Kwa EPL hakuna Beki yyte anayemfikia huyu Jamaa Kwa kupiga progressive passes na zinazovunja mistari na hapo hachezi possession football based team, shida Majeruhi...
 
Dirisha limebakisha masaa tu lifungwe hatuna hata Tetesi ya kusajiri Beki ya kushoto wala striker pale mbele wakati huo Ostazi Benzema hana Timu kwa sasa kwanini asitue hapo OT aje aongeze Leadership kwenye kikosi madogo wanajisahau sana en we still have a Long way to GO mpaka sasa tuko WarmUp tu na kama tutamaliza hivi hili Dirisha we are Doomed 72% na tutabugia sana Fundo za Konyagi kupoza Kichwa 🤕🙁.

Bagabeach Lighton King faisal Scars Numbisa Selikavu min -me
Mlisikiliza na Press ya Kocha enu anadai Lilikuwa ni dirisha zuri sana matumizi ya Pesa yamezingatiwa, wachezaji wapya wamemwagwa akajazia Pia Marcus Rashford ukimwangalia kwa Jicho jingine ni kama sajiri mpya tu 😄😀 yana Makame huyu huyu kaenda kwa mkopo arudi mpya ilikuwa kidogo tu nimchukue kutoka kwenye TV mpuuzi huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…