Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila kobi maino buana tu wakweli yule sio mido wa kumtegemea anamakosa mengi Sana ukiacha safe passess na Short pass

pale Kati inatakiwa mido wawili katili

luke Shaw aondoke tu chezaj linaogopa mpira wakat linacheza nafas rahisi kuliko zote
upo sahihi sana
 
Aaaaaaaa chama la wana hiloooooooooo

Nyumbu tunaubonda lini?

Dunia ime-miss Carrick ball

Ni wiki tatu sasa tangu mlitambaze ball la kiwango cha juu.

Muwe mnaomba hata mechi za kirafiki katikati ya wiki na kina Hull City ili dunia ilate burudani
 
Kuanzia building up ya goli mpaka goli lenyewe
Your browser is not able to display this video.
 
Next game tunakuja na slogan yetu "wakuu bado naiona nafasi pale juu" maana mmeanza kunenepa
 
Sema United Wana jeuri Sana, Eti wanasema kuwa:

Binadamu wote walizaliwa wakiwa mashabiki wa Manchester United lakini baada ya kuanza kutumia madawa ya kulevya, pombe Kali, kamari na Aina nyingine ya uchafu basi ndo wakajifanya ni mashabiki wa Chelsea, Liverpool, Man City.

Wale walioongeza na uchawi na kuroga ndo wakawa mashabiki wa Arsenal.
 
Hizi tabia huwezi waambia wanaume wenzako inaonesha una matatizo ya kisaikolojia. Utani wa kudhalilisha wanaume wenzio namna haufai kwakwel mpira ni fair na ushabiki unatakiwa uwe fair.
Vipi bosi mbona makasiriko? Hizo ni banters tu za hapa na pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…