Sema Yoro mngese Sana, hata kama ni beki mdogo kiumri lakini kuna vitu basics vya kufanya, sasa Rogers kamponyoka kipuuzi tena mara mbili, huyu anazingua! Kazi kukimbiza virasta vyake kama kuku wa kideri, hajifunzi kabisa kufanya timing...Sema kuna aspects zinaimarika, toka msimu umeanza Leo matokeo kwa kiasi Fulani nimeyakubali na yale ya Arsenal.