Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii timu hata ikicheza na Madenge fc itafungwa goli za kutosha
 
Manyumbu naona wamefanya sub za kutosha hapa wanataka come back ya kwenda shule
 
pamoja na straika la bol kuanza bado shida iko palepale labda mumuingize bonge la dada naona leo kaanzia benchπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ‘ˆπŸ½πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ‘ˆπŸ½
 
pamoja na straika la bol kuanza bado shida iko palepale labda mumuingize bonge la dada naona leo kaanzia benchπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ‘ˆπŸ½πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ‘ˆπŸ½
Ostaadh mbuemo ndani magwaya beki fungaji nalo lipo
 
Hakika Ruben kwa kutaka aibu waipate wote hadi wanaojifanya masuperstar kafanya sub
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…