Wampatie kwanza midfielder mmoja ndio tuanze kumhukumu. Imagine kiungo chako kina Casemiro pumzi inakata mapema sana, Ugarte sijawahi kumuelewa na rafu zake za kipuuzi ingawa hana ubora unaostahili kuwa United, una Collyer kinda kabisa ambaye hana uzoefu halafu unaenda kupambana na mids za arsenal, liver, chelsea na city?
Mie bado nina imani na Bwana Amorin, ila apewe Baleba au kiungo mwingine wa kaliba hiyo.