Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Haya majamaa ya evaton yana nguvu na pumzi sana

cc babtutu kwa kukujibu bandiko lako hapo juu.
 
Last edited by a moderator:
Wazee wa msimamo tumeelemewa sana na tusipoangalia tutaoga mvua ya magoli mengi sana
 
Lukakooo a a a a, huyu jamaa ni hatari sana anatukosakosa hapa
 
Hahaaa,hii timu inabidi uwe unameza panadol ndo unaangalia,mechi zake;-)
 
Inabidi tuwawashie moto hawa. Tukicheza cheza hivi tutamaliza wa 10 kwenye ligi
 
Hivi Moyes mpaka sasa hajajua kikosi chake cha 1 ni kipi? Nadhani angeanza na Welbeck afu Nani angetulia benchi Man Utd wangekuwa na nafasi ya kuwapa Everton shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…