Punda wa arsenal walidhani tumeisha kumbe ni namna ya kuongeza ladha na hadhi ya mechi. Hebu fikiria dakika 20 za mwanzo unafunga goli 4-0, nimeamini watu wa marketing wa man utd ni genius sana sana.
Mechi ya europa imeluwa na mvuto sana kuliko ya asanali na vilema wenzao madrid