Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii inaitwa piga nikupige kumamakeh..

Unakita kisu ya kifua , Mimi nakupiga panga la shingo ...ningejua ningebet over 2.5 nitie hata laki Tano ..
 
Ila mpira bana😃😃 kule Lazio walikuwa wanaongoza kwa uhakika kabisa eti saiz wanapumulia mashine kwenye penalty
 
Both teams were shit but United showed heart and kept believing to the end.

Kwa channel niliyokua naangalia mpira mtangazaji alikua anasisitiza jinsi gani united kutolewa ingemaanisha a blow kwenye finance.

Ilikua kama vile wanasikia hawa jamaa. They kept going.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…