Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Duh! Jiji la Manchester limekumbwa na laana gani sijui,
City kabanwa na kitimu kina jina refu kaja kujiokoa jioni kabisa.
 
Kobie maino chezaji hata miaka 20 bado halijafksha linakimbia km linakaribia kustaafu 😄😄😄😄
Mazurui linakaba km punga🤣🤣
Dilgt kubwa jinga

Hamad had leo najiuliza anapataje namba manchester united 😄😄😄

Hili timu la kufala Sana linamtesa captain bruno tu
 
Kobe maino
Delgt
Mazurui
Hamad
Dalot
Lindof
Rashford
Antony


Hizi takataka zinatakiww Ziondoke msimu unaoisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…