Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwaheli papa rashford kiboko ya Wenger orphans.

kamwe siwezi kukusaau kwa goal zako mbili dhidi ya arsenal ukiwa bado kijana mdogo tu anae valia jezi 39 mgongoni.

Ulichotupa hatutakisaau kwa udambwi udambwi wako pale mbele.
 
Sijui makubaliano yao kimkataba yakoje ila namuonea huruma Amorin na huu uongozi mpya wa United. Tunauza ila kusajili ni under age ambao sioni wakiingia kwenye kikosi cha kwanza hivi karibuni.

Any way, sasa moyo wangu una amani baada ya Rashford kuondoka pale matofalini.
Tujenge timu sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…