Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah mambo gn Tena hapa TOT tunaruhusu yatokee, hawa nyumbu wakishinda watatamba sana em refa maliza mpira kuna watu wanaishi mbali
 
Come back ikipigwa tutaweka uso wetu wapi chuma cha pili dialo
 
Taratibu tutaingia kwenye mchezo, Bora ufungwe lakini uonekane timu inajaribu kutafuta kitu gani, wachezaji wetu wote walianza chini kabisa, sijui hawakuwa na mood ama vipi. Mmeona Sasa Kuna wachezaji taratibu utawaona hamna kitu lakini kipindi cha ETH walidekezwa...Sasa hivi tutakuwa direct kutafuta wachezaji watakaofaa na huu mfumo, quality unazihesabu Sasa hivi, hii ni ishara nzuri kwetu.
 
ik
iko waz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…