Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tehe teh Ligi ya mwaka huu kweli kiboko..A
kuna jamaa alikuwa katabiri chelsea draw na man united anafungwa toka jana.nikamwambia nenda ka-bet kakataa kasema mara nyingi akiweka hela yake matokeo yanaenda tofauti kwahio hapa naona anajilaumu sana.
 
93'
alert_icon2.gif
All crdit to Villa - they were fantastic today and thoroughly deserved their win. United just weren't at it, and couldn't create anything of note in the second half. the players lap it up, as well they might. United stay second, three behind Chelsea. Villa are up third
 
kuna jamaa alikuwa katabiri chelsea draw na man united anafungwa toka jana.nikamwambia nenda ka-bet kakataa kasema mara nyingi akiweka hela yake matokeo yanaenda tofauti kwahio hapa naona anajilaumu sana.

Leo siku haikuwa nzuri kwa vigogo ndo mida ya ligi kubana,poleni wazee..
 
naona leo wale mafarasi wawili wamepunguza kwasi safi sana na itakuwa vizuri zaidi vijana wangu watakapo shinda kesho.poleni sana wakuu wa jukwaa hili karibu kesho mtizame burudani.
 
Ndo unalikumbuka hili sasa hivi?

Hapana,nalijua kitambo,ila nashangaa jinsi mabingwa wanavyochezea kichapo maana wao kila siku wanatuponda Arsenal kwa kufungwa lakini so far(kama sikosei) Man Utd kafungwa mechi 4,Arsenal mechi 4 na Chelsea mechi 3...Sasa sijui walikuwa wanatucheka nini hasa,ama ndo yale mambo ya Usitukane mamba kabla hujavuka mto???
 
naona leo wale mafarasi wawili wamepunguza kwasi safi sana na itakuwa vizuri zaidi vijana wangu watakapo shinda kesho.poleni sana wakuu wa jukwaa hili karibu kesho mtizame burudani.

Na we subiri kesho yule mgonjwa ataponea kwako hadi utabaki mdomo wazi.Kesho pamoja sana mkuu.
 
Poleni Manure,Belo wewe ndo waongoza kwa kutuponda Arsenal kwamba vibonde na kutuombea kila siku tufungwe,yako wapi sasa..Mnakula kichapo tu kama Arsenal..lol....Pole sana kwa kichapo mkuu,ndo ukubwa huo
 
Hapana,nalijua kitambo,ila nashangaa jinsi mabingwa wanavyochezea kichapo maana wao kila siku wanatuponda Arsenal kwa kufungwa lakini so far(kama sikosei) Man Utd kafungwa mechi 4,Arsenal mechi 4 na Chelsea mechi 3...Sasa sijui walikuwa wanatucheka nini hasa,ama ndo yale mambo ya Usitukane mamba kabla hujavuka mto???

Naona hadi majigambo ya hawa jamaa leo kwisheni huwa wanasema ooh si dk za 90 ndo zetu leo wapi wakuu.
Banta subiri kesho wazee wabwawa na ninyi.
 
Hapana,nalijua kitambo,ila nashangaa jinsi mabingwa wanavyochezea kichapo maana wao kila siku wanatuponda Arsenal kwa kufungwa lakini so far(kama sikosei) Man Utd kafungwa mechi 4,Arsenal mechi 4 na Chelsea mechi 3...Sasa sijui walikuwa wanatucheka nini hasa,ama ndo yale mambo ya Usitukane mamba kabla hujavuka mto???

Mpwa kesho mnapoteza mechi ya tano! Poleni sana
 
Na we subiri kesho yule mgonjwa ataponea kwako hadi utabaki mdomo wazi.Kesho pamoja sana mkuu.

Na watakomaa kweli hiyo kesho,wao wakikutana na Man Utd,Chelsea au Arsenal wanakomaa kama nini,ila wakikutana na vi kina LIPULI wanalegeaaaa
 
Poleni sana kwa kipigo cha bao moja. Wapenzi wa MANU walikuwa wamejishika vichwa dakika za majeruhi na wengine wakimuomba muumba wao labda miracle itokee angalau waambulie point moja lakini leo siku haikuwa yenu. Kesho ni zamu yetu kuona L'pool watatutenda vipi katika kinyang'anyiro hicho.
 
Na watakomaa kweli hiyo kesho,wao wakikutana na Man Utd,Chelsea au Arsenal wanakomaa kama nini,ila wakikutana na vi kina LIPULI wanalegeaaaa

Wanatafuta kutunza heshima maana wanajua kikombe hakiwahusu kabisa hasa msimu huu.
 
Naona hadi majigambo ya hawa jamaa leo kwisheni huwa wanasema ooh si dk za 90 ndo zetu leo wapi wakuu.
Banta subiri kesho wazee wabwawa na ninyi.

Tunashinda,labda wasimchezeshe Lucas
 
Back
Top Bottom