Ata walipopata 2 spurs, nilikua Sina wasiwasi na low block itakayowekwa pale nyumaTulipunguza sana intensity second half halafu tukawa kama tunapooza mashambulizi aisee. Ghafla, mistake ya Raya na penalty ikawapeleka Spurs mpaka 2-3. Mechi ya mfululizo away bila kufungwa ikapotea lakini muhimu 3 points. Tulikuwa tumemuacha City kwa magoli 11 ila sasa ni 9 ila tuendelee tu kushinda tuone mwisho utakuwaje.
Baada ya ile mistake ya Raya, jamaa aligeuka na kuwa mnoma yaani mbogo ile mbaya. Hakuna mipira ilikuwa inakatiza juu kwenye box bila katumbili Raya kuinyakua. Ilikuwa kama ameamua kuonyesha ulimwengu yeye ni nani kabla hawajaanza kumchukulia poa kwa kale kakosa kadogo. Nilifurahi kuona alivyobadilika baada ya dakika tu.Ata walipopata 2 spurs, nilikua Sina wasiwasi na low block itakayowekwa pale nyuma
Nyumbu tupige 4, ili kuweka gap la magoli vizuri
City tutamkamatia mbele kidogo,Fulham, spurs
Kwa boli tunalopiga mkuu, uzi wetu hautoshi kuelezea jinsi tulivyo wakali. Hivyo tunalazimika kutumia na uzi huu pia. Na hapo hata Hamisi hajaingia...Yan nimeingia huu uzi nikajua wa Arsenal kumbe Raia zimevamia humu aisee
Hapa Bruno anaingia angalau bench kwa mbaaaliiiCombined squad ArsenalNDOO vs NyumbuView attachment 2976282
huyu jamaa(arteta) atafanya makocha wengi sana wa epl waondokeNyumbu kwenye 1 and 2View attachment 2976174
Sana tu mkuu. Tulianza na kufukuza mashabiki viwanjani kwenye mechi. Tumewafikia mpaka makocha maofisini, wao ni kukimbia ligi tu..huyu jamaa(arteta) atafanya makocha wengi sana wa epl waondoke
tumeanza na zee la kukena, klopu.......kituo kinachofuata ni eth na antony wake
Manyumbu yaamshwe...yanalala mapema hivi yana Raha gani🤠🤠....yaani yako mtaa wa Saba huko halafu yako comfortable kabisa....yake humu tubishane nayoSana tu mkuu. Tulianza na kufukuza mashabiki viwanjani kwenye mechi. Tumewafikia mpaka makocha maofisini, wao ni kukimbia ligi tu..
Halafu eti haya manyumbu yanaishi kwa furaha kuliko sisi kisa yamefika fainali ya FA cup 😀😀Manyumbu yaamshwe...yanalala mapema hivi yana Raha gani🤠🤠....yaani yako mtaa wa Saba huko halafu yako comfortable kabisa....yake humu tubishane nayo
Hizo mechi zote kwa nyumbu ni fainali 😂😂🤣View attachment 2976471
Crystal Palace, wanaLondon wenzetu, wanaanza na kupiga rungu la kichwani.
Sisi tunakuja kuchinja kabisa hili shetani.
Newcastle wanachoma moto mpaka majivu.
Brighton anafukia kabisa futi 12 chini.
Man City anakuja kumuonea huruma dada yake na kumuachia abebe angalau kikombe cha FA.
Mchezaji wa PSG huyo#mufc’s preference is to keep Marcus Rashford and help bring him back to top form. United would only consider sale if substantial bids arrive and England international decides he wants to take on new challenge.
[@David_Ornstein]