Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tuuzieni kwa aftatu hyu jamaa...sisi atatufaa...maana tunasifika kwny kufufua mikweche
Bora tumchukue maino awe backup ya Rice

Rashford Hana kipaji na hafundishiki

Wachezaji wenye ufanano na hiyo aya ya pili, sehemu kubwa ndio wanaunda first eleven
 
[emoji599] 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Manchester United will 𝐍𝐎𝐓 play Champions League football in the 2024/25 season, as it's now guaranteed after Aston Villa’s result.
 

Attachments

  • IMG-20240429-WA0036.jpg
    88.7 KB · Views: 17
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chuchunge Fc wakishinda mechi mbili, tatu wanakua na midomo kwelikweli halafu wakigongwa game moja wanapotea wote.
Walivyogongwa na Villa walitulizana kama vile wapo kwenye eda[emoji16][emoji16][emoji16]
wamebahatisha mechi mbili false hope ya ubingwa imewarudia yaani hatupumui, Tukisha wagonga OT ndio mtapotea moja kwa moja mpaka msimu ujao dirisha la usajili likifunguliwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Mkuu tunawaombeni msituangushe tu kama mkorea alivyosema
 
Ili usajiriwe arsenal, kwanza uwe the gunner au uwe na mapenzi na timu

Pili uelewe project na uwe tayari kufia uwanjani kwa ajiri ya timu

Look at this, alipoulizwa kuhusu kuwa sehemu ya squad ya nyumbu[emoji116][emoji1751]
 
Hyu mchezaji ni very controversial...ni wale wachezaji ambao wameamua kwmba utukutu ni sehemu ya identity Yao...
Ili usajiriwe arsenal, kwanza uwe the gunner au uwe na mapenzi na timu

Pili uelewe project na uwe tayari kufia uwanjani kwa ajiri ya timu

Look at this, alipoulizwa kuhusu kuwa sehemu ya squad ya nyumbu[emoji116][emoji1751]View attachment 2978531
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…