Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ata walipopata 2 spurs, nilikua Sina wasiwasi na low block itakayowekwa pale nyuma

Nyumbu tupige 4, ili kuweka gap la magoli vizuri

City tutamkamatia mbele kidogo,
Fulham, spurs
 
Ata walipopata 2 spurs, nilikua Sina wasiwasi na low block itakayowekwa pale nyuma

Nyumbu tupige 4, ili kuweka gap la magoli vizuri

City tutamkamatia mbele kidogo,
Fulham, spurs
Baada ya ile mistake ya Raya, jamaa aligeuka na kuwa mnoma yaani mbogo ile mbaya. Hakuna mipira ilikuwa inakatiza juu kwenye box bila katumbili Raya kuinyakua. Ilikuwa kama ameamua kuonyesha ulimwengu yeye ni nani kabla hawajaanza kumchukulia poa kwa kale kakosa kadogo. Nilifurahi kuona alivyobadilika baada ya dakika tu.
 
huyu jamaa(arteta) atafanya makocha wengi sana wa epl waondoke
tumeanza na zee la kukena, klopu.......kituo kinachofuata ni eth na antony wake
Sana tu mkuu. Tulianza na kufukuza mashabiki viwanjani kwenye mechi. Tumewafikia mpaka makocha maofisini, wao ni kukimbia ligi tu..
 
Sana tu mkuu. Tulianza na kufukuza mashabiki viwanjani kwenye mechi. Tumewafikia mpaka makocha maofisini, wao ni kukimbia ligi tu..
Manyumbu yaamshwe...yanalala mapema hivi yana Raha gani🤠🤠....yaani yako mtaa wa Saba huko halafu yako comfortable kabisa....yake humu tubishane nayo
 


Crystal Palace, wanaLondon wenzetu, wanaanza na kupiga rungu la kichwani.

Sisi tunakuja kuchinja kabisa hili shetani.

Newcastle wanachoma moto mpaka majivu.

Brighton anafukia kabisa futi 12 chini.

Man City anakuja kumuonea huruma dada yake na kumuachia abebe angalau kikombe cha FA.
 
Hizo mechi zote kwa nyumbu ni fainali 😂😂🤣
 
| QUICK STAT

No player in the North London derby yesterday:

• Won more duels than Bukayo Saka
• Suffered more fouls than Bukayo Saka
• Made more tackles than Bukayo Saka

And Arsenal's starboy even found time to score a goal.


Naiona Mikimbio ya Arjen Ruben kwenye mwili wa Saka
 
#mufc’s preference is to keep Marcus Rashford and help bring him back to top form. United would only consider sale if substantial bids arrive and England international decides he wants to take on new challenge.

[@David_Ornstein]
 
#mufc’s preference is to keep Marcus Rashford and help bring him back to top form. United would only consider sale if substantial bids arrive and England international decides he wants to take on new challenge.

[@David_Ornstein]
Mchezaji wa PSG huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…