Kama huyu 10 na wa AJAX ni mtu mmoja, amini kwamba jamaa ata turn things around akipata back up ya kutosha kwenye upande wa management. United ya leo star wetu ni Rashy mtu ambaye ukimuweka sokoni leo timu kubwa hawasumbuki naye na akichukuliwa ataenda timu kama Galatasaray.
Kama sikosei unafuatailia usajili wa kiutawala anaofanya tajiri mwembamba kama maandalizi ya kusuka United ya kutawala Ulaya miaka 10 ijayo.
Inatisha sana.
Sijui nikwambie ukweli au nikuache tu uendelee kujidanganya
Kwanza unatakiwa ujue 7+3hag sio kocha wa kisasa ,ile Ajax inawadanganya mpaka kesho
Kuna aina za makocha ambao wakisasa ,7hag hayupo kwenye hilo kundi kabisa
Hata ukimpa ile prime Barcelona au Prime Brazil ya mwaka 1970 ,Bado atapaki basi nakusubiri individual brilliance
Makocha wa kisasa wanatumia sana kitu tunaita JdP au kwa kihispania tunaita Juego de Posición JdP au kule uingereza wanaita POSITIONAL PLAY ,
‘Positional Play’, it is a philosophy that seeks to create an advantage over the opposition by a focus on the positioning and the movement of players to generate superiorities.
Makocha wanaocheza au tunawaita JdP coaches ni Pep Guardiola , Mikel Arteta ,Klopp, Inzagi, Di zerbi, Alonso ,Andoni Iraola,n.k
Erik 7 hag hayupo kwenye hilo kundi na hajawahi kufundisha mpira wa hivo hata alipokuwa Ajax,
Pale Ajax alikuwa anacheza vzr ,sababu ligi ni dhaifu tu, Frank De Boer amewahi kubeba Erevedise mara 4 mfululizo ,alipokuja EPL sijui hata kama alishinda mechi hata 5 Hadi anafukuzwa,
Kwahiyo 7hag kwanza uelewe tunamuweka kundi moja na kina Southgate,David Moyes, Tony Pulis, Big Sam, Chriss Wilder ,Sean Dyche
Hawa wape hata Prime Barcelona Bado watakaa nyuma watasubiri kaunta attack, labda wakutane na mpinzani dhaifu sana .
7hag alirithi kikosi kizuri tu wala hakikuwa kibaya ,akaongezewa Hadi €450m kufikia msimu huu aboreshe zaidi ,akapewa na uhuru wa kuchagua wachezaji anaowataka
Akamtimua CR7 ,akamleta mpwa wake Weghorst
Akashinikiza Anthony Santos Makudubela masebene aletwe kwa gharama yoyote
Malacia
Martinez
Casemiro
Amrabati
Mount
N.k
Maombi yangu Jamaa aongezewe mkataba mrefu