Kweli aliwapa jina Man U la nyumbu hakukosea,unafingwaje kizembezembe hivi,humu hamna timu ya mpira ni genge la wauni kama wakiendelea hii timu itawachukua miaka 100 kichukua kombe kubwa la heshima kama UEFA na EPL na uropa,wachezaji wako goigoi utafikiri wote ni Islamic wamefunga.
Bora hata Man u mnafungwa robo fainali na Liverpool. Chelsea tunafungwa Fainali na Liverpool mara mbili kwenye msimu mmoja. Ten hag ni kama Pochetinyo tuu