Fair ni nini? kumbe hata makocha wanatupenda?
sasa mkuu watu wacheze rafu wao wenyewe unategemea nini..We Subiri dawa ije ukuingie!
Unamaana gani unaposema refa awe fair? Unamaanisha City inasonga kwa mbeleko ya marefa? Alafu hiyo J/4 nakuomba wewe uzuie sare tu.Mkuu hili ndio jukwaa letu ambalo twakutana Mara zote!
Wewe j4 naomba Uje Na hoja zako!
Nasema hivi! Km mwaamuzi akiwa Fair na kusiktokee Kadi nyekundu km jana au Penalty! Basi kushinda city haiwezekani! Lazima wapigwe tu!
Unamaana gani unaposema refa awe fair? Unamaanisha City inasonga kwa mbeleko ya marefa? Alafu hiyo J/4 nakuomba wewe uzuie sare tu.
habari JF wote na wapenda Man city woooooooooooote....Kweli Man City wananifanya nijisikie fresh each day they play?
Sidhani kama wana mpinzani......!
Kwani ungewatolea mfano liver pool ungekosea nini? Tuacheni na United yetu Jamani.Tulia upate dozi kijana, inaonekana humjui Mourinho "THE SPECIAL ONE" wewe, waulize Man U kilichowakuta! Ha ha haaaa Labda mpaki basi kama la WEST HAM jana.
Mkuu Km ni mfatiliaji Wa mpira ktk big game Km mwamuzi akiwa mzuri basi game hupendeza kabisa!
Lkn akiwa hovyo basi kila kitu hua hovyo! Angalia game zote kubwa za Man city uangalie na maamuzi ya marefa utapata Jibu!
Kwa mfano ile Jana haikupaswa kua Red Card kwa mchezaji Wa Spurs! Unafikiri wangekua 11 nini kingetokea kwa city ata km walikua wanaongoza?
Mkuu Km ni mfatiliaji Wa mpira ktk big game Km mwamuzi akiwa mzuri basi game hupendeza kabisa!
Lkn akiwa hovyo basi kila kitu hua hovyo! Angalia game zote kubwa za Man city uangalie na maamuzi ya marefa utapata Jibu!
Kwa mfano ile Jana haikupaswa kua Red Card kwa mchezaji Wa Spurs! Unafikiri wangekua 11 nini kingetokea kwa city ata km walikua wanaongoza?
Acha kuongea kishabiki wewe bila takwimu zozote, Man City imefunga magoli 4 au zaidi katika mechi 18 msimu huu, katika hizo mechi 18 ni mechi 2 tu ndio red card zilitolewa. Ambazo ni mechi dhidi ya Arsenal na Spurs. Sasa ebu niambie kama kweli wewe unajua na unafuatilia soka, timu yenye rekodi ya hii ina itaji msaada wowote wa red card? Acha kuzungumza kishabiki, Man City are playing the best football in the EPL right now, only a fool can reject this obvious fact. Msimu huu pekee Man City imefunga magoli 115 katika mechi 37 still you are trying to compare na Chelsea?
Mkuu kwa kukuongezea tu, takwimu katika msimu huu zinaonyesha striking force ya Man City (Aguero, negredo na Dzeko) wamefunga jumla ya magoli 64 wakati striking force ya Chelsea (Etoo, Torres na Ba) wamefunga magoli 17. Je kwa statistics hizi bado unasema marefa wanaibeba City? Huo ndo ukweli ulivyo ingawa ni mchungu. Hata huyo mnaemwita "The Special One" siku hizi halitaki hata hilo jina siku hizi, umejiuliza kwanini?
Narudia tena, macho ya ulimwengu yako kwa Chelsea kua itakuaje Etihad? Kaa usubiri, Utakimbia hapa jamvini na Takwimu zako!
Unafikiri kwanini "macho ya ulimwengu" yapo kwa Chelsea on their trip to hell (Etihad)? Ni kwa sababu ya hiyo striking force mkuu. Hata Mourinho mwenyewe anaweweseka sasa hivi, nam quote.... Mourinho said: For how many months have I said the same thing? For me, its not a surprise how well City are doing. Are they favourites? Yes. Are they favourites to score again four, five, six goals? Yes. But its 0-0 now and we go there to compete.
Acha kuongea kishabiki wewe bila takwimu zozote, Man City imefunga magoli 4 au zaidi katika mechi 18 msimu huu, katika hizo mechi 18 ni mechi 2 tu ndio red card zilitolewa. Ambazo ni mechi dhidi ya Arsenal na Spurs. Sasa ebu niambie kama kweli wewe unajua na unafuatilia soka, timu yenye rekodi ya hii ina itaji msaada wowote wa red card? Acha kuzungumza kishabiki, Man City are playing the best football in the EPL right now, only a fool can reject this obvious fact. Msimu huu pekee Man City imefunga magoli 115 katika mechi 37 still you are trying to compare na Chelsea?
We as Chelsea we know exactly wht we are going to do on Monday game!
sitaki kujua nani yupo hme nani yupo away lakini hiyo mechi lazima mkae man city yupo onfire chelsea ya mourinho haina uwezowa kumzuia hata kidogo