Wewe ni mshabiki wa mpra wa jana, maana Man City wamekuja tu jana.Kwa hiyo hujui utamu wa mpira ndiyo kwanza unaingia kwenye ulimwengu wa sokahabari JF wote na wapenda Man city woooooooooooote....Kweli Man City wananifanya nijisikie fresh each day they play?
Sidhani kama wana mpinzani......!
halafu utamu wa mpira si kufunga au kuna utamu gani mwingine!Wewe ni mshabiki wa mpra wa jana, maana Man City wamekuja tu jana.Kwa hiyo hujui utamu wa mpira ndiyo kwanza unaingia kwenye ulimwengu wa soka
halafu pia nimesahau utakuwa lazima wewe ni mzaramo......................!
sikatai ila mi sijazaliwa enzi za nyerere so this is my time!
Wewe ni mshabiki wa mpra wa jana, maana Man City wamekuja tu jana.Kwa hiyo hujui utamu wa mpira ndiyo kwanza unaingia kwenye ulimwengu wa soka
na Chelsea tarehe 3 ni honey moon tu............
***** Chelsea lazima wawafumue marinda wiki ijayo.Washika bunduki tunarudi kileleni punde.
Wewe ni mshabiki wa mpra wa jana, maana Man City wamekuja tu jana.Kwa hiyo hujui utamu wa mpira ndiyo kwanza unaingia kwenye ulimwengu wa soka
hii timu mi naiombe a mazuri... ni timu ambayo binafsi naiona inajituma sana!
go go go go go THE CITIZENS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Pole jirani.Nimekusoma.Nina hasira sana na hao man shit.Please jirani fanya ulichokifanya traford.Jirani yng lugha yko ulotumia? Ingawa wantakia Heri!
Pole jirani.Nimekusoma.Nina hasira sana na hao man shit.Please jirani fanya ulichokifanya traford.
umenena kabisa,mashabiki wa Chelsea,Man city lazima uwena doubt kidogo kama nimashabiki wa kweli wampira au wale waliopenda mpira sababu company inamfanya awehivyo,mimi na jamaa mpaka kesho ni mnazi wa New Castle United na haumtoi....!!