Manchester City inatoa dozi ya magoli mengi

Manchester City inatoa dozi ya magoli mengi

Mkuu huo ni ushamba. Nimewasikia mashabiki wengi wa Man United, Arsenal na Liverpool wakiwabeza mashabiki wa Man City kwa kejeli nyiiingi kama vile eti mashabiki uchwara, mashabiki wa jana, sijui mara wamefuata mafanikio tu, mara ooh kabla mlikuwa timu gani.....maneno mengi mbofu mbofu. Kwani wewe kama ni mshabiki wa Man United au Arsenal toka mwanzo wa dunia ina kuuma nini mtu akijitambulishakuwa mshabiki wa Man City? Kwa taarifa yako hata wewe kuna siku ambayo ulianzia kuipenda hiyo timu unayoishabikia leo. Kila kitu kina mwanzo mkuu.....stop being a hater. Kwenye michezo, timu yoyote inayofanya vizuri ni wazi itaanza kujenga fan base... Ina maana niogope kujitambulisha kuwa mimi ni mshabiki wa Mbeya City au Azam? Kisa utakuja kunikebehi eti mimi ni mshabiki uchwara? Mpira nimeujua jana? Waachane jamani mashabiki wa Man City waendelee kufurahia kiwango bora cha timu yao kwa sasa huku wakiendelea kutoa dozi nene kwa wapinzani wao kila kukicha. Hongereni Man City kwa kucheza soka zuri na la kuvutia....Ndo maana katika mitaa ya hapa Dar jezi za Man City zimeanza kuwa nyingi kuliko za Liverpool hahahahah!
well said brooo
 
Mkuu hili ndio jukwaa letu ambalo twakutana Mara zote!

Wewe j4 naomba Uje Na hoja zako!

Nasema hivi! Km mwaamuzi akiwa Fair na kusiktokee Kadi nyekundu km jana au Penalty! Basi kushinda city haiwezekani! Lazima wapigwe tu!
kweli u must be joking toka nianze kuangalia mechi za man city sijawahi kuona wala kusikia watu wakisema tumebebwa iwaje leo au ndo vile kushinda ashinde Man U akishinda man city kabebwa?
 
Jamani City hawawezekani labda wacheze na timu kutoka mbinguni lakini sio hivi vitimu vyetu vya BPL. Jana kunajamaa nilimtia njaa ya 25,000 nilimwambia City inashinda goli zaidi ya tatu jamaa akabisha kwa kuweka dau, mwisho wa mchezo kilamtu aliniona kama nina ilizi vile. Ogopa sana mtu mwenye pesa.
kwa man City naweka hata my ASS najua kushinda lazima!
 
Unachekesha! Baba yako Pellegrine halali alafu wewe unatupigia kelele hapa kwa hoja za hangover!

J3 mtakimbia hapa!
sio sehemu zote utumie HGL au HGK! ukweli hata we mwenyewe unaujua tu!
 
Usiongelee THE BLUES wewe, dozi ya darajani ile imeshakuisha mara tu? Tunakuja kwako ETIHAD j'3 kukuchoma dozi nyingine. Hizo mbwembwe zenu huko huko kwa Arsenal na ManU kwetu ni vichapo tu.
 
Acha kuonyesha jinsi usivyo na knowledge ya mpira kwani nani hajui mkataba wa mabilioni wa etihad hawa waarabu wanajidhamini wenyewe kwa mabilioni hivyo wangefuata financial fair play wasingesajili hayo majina makubwa yanayoibeba city
ukiamka let me know
 
Usiongelee THE BLUES wewe, dozi ya darajani ile imeshakuisha mara tu? Tunakuja kwako ETIHAD j'3 kukuchoma dozi nyingine. Hizo mbwembwe zenu huko huko kwa Arsenal na ManU kwetu ni vichapo tu.
kwahiyo ule mpira mliocheza na Man U ndo mje kutushinda? tena nyie yaani tunapiga ng'adu kabisa! yaani nyie kukalia lazima!
 
kwahiyo ule mpira mliocheza na Man U ndo mje kutushinda? tena nyie yaani tunapiga ng'adu kabisa! yaani nyie kukalia lazima!



Huo huo tuliocheza na Man U ndiyo uliwatoa malinda darajani kwani umesahau TORRES alivyowabofya kizenji siku ile?
 
Huo huo tuliocheza na Man U ndiyo uliwatoa malinda darajani kwani umesahau TORRES alivyowabofya kizenji siku ile?
Torres mbona ni old Fella tu! yaani my friend sikudanganyi kipigo ni lazima tena kiulaiiiini!
halafu kwenye hii ligi last time mlichezea mbili au unaongea ligi zipi?
 
Torres mbona ni old Fella tu! yaani my friend sikudanganyi kipigo ni lazima tena kiulaiiiini!
halafu kwenye hii ligi last time mlichezea mbili au unaongea ligi zipi?




Are you serious? Wewe ni mfuatiliaji wa mpira kweli? Mara tu umesahau Stanford Bridge tuliwafanyaje round ya kwanza? Tuliwatia viwili kwa moja leo hii unageuza matokeo? Ha ha ha haaaa umeshaanza kupata kiwewe eenh??


Fernando Torres capitalised on a last-minute calamity in Manchester City's defence to give Chelsea victory at Stamford Bridge.

BBC Sport - Chelsea 2-1 Manchester City
 
kwahiyo itajirudia? kweli kazi unayo! amini nakuaambia kipigo lazima!
 
Are you serious? Wewe ni mfuatiliaji wa mpira kweli? Mara tu umesahau Stanford Bridge tuliwafanyaje round ya kwanza? Tuliwatia viwili kwa moja leo hii unageuza matokeo? Ha ha ha haaaa umeshaanza kupata kiwewe eenh??


Fernando Torres capitalised on a last-minute calamity in Manchester City's defence to give Chelsea victory at Stamford Bridge.

BBC Sport - Chelsea 2-1 Manchester City
kwahiyo itajirudia? kweli kazi unayo! amini nakuaambia kipigo lazima!
 
kwahiyo itajirudia? kweli kazi unayo! amini nakuaambia kipigo lazima!



Tulia upate dozi kijana, inaonekana humjui Mourinho "THE SPECIAL ONE" wewe, waulize Man U kilichowakuta! Ha ha haaaa Labda mpaki basi kama la WEST HAM jana.
 
Tulia upate dozi kijana, inaonekana humjui Mourinho "THE SPECIAL ONE" wewe, waulize Man U kilichowakuta! Ha ha haaaa Labda mpaki basi kama la WEST HAM jana.
sasa niwaulize Man u kwani man u nayo ni timu maana hawa tunapigaga sita!
j3 wala hutarudia kusema haya maneno kabisa maana kama sikosei ni sita mnachezea!
 
kweli u must be joking toka nianze kuangalia mechi za man city sijawahi kuona wala kusikia watu wakisema tumebebwa iwaje leo au ndo vile kushinda ashinde Man U akishinda man city kabebwa?



Ata Jana km si red card kwa spurs shughuli mngeiona! Ndo maana kwa sisi tunaojua mpira tunatahazarisha kabisa ya kwamba game ikiwa Fair lazima mpigwe city!
 
Torres mbona ni old Fella tu! yaani my friend sikudanganyi kipigo ni lazima tena kiulaiiiini!
halafu kwenye hii ligi last time mlichezea mbili au unaongea ligi zipi?


Wewe kweli mbhado! Ata ligi hufatilii!

Darajani tuliwapiga! Alafu Leo unasema nini?
 
Back
Top Bottom