Manara kuwavua nguo mabosi zake kusema wamechonga shepu ni kuwadhalilisha

Manara kuwavua nguo mabosi zake kusema wamechonga shepu ni kuwadhalilisha

Unajua manara ana hii tabia ya kuchonganisha watu pia ana tabia ya kuwapondea watu anapokuwa amezungukwa na watu, alishawai kumzungumzia vibaya Hersi ambaye ni Rais wa Yanga. Pia safari hii amewaponda sana Mabosi zake ambao ni GSM na Salaah na Wake zao.


View: https://youtu.be/j_9LbO4AGaA

Sema kimeumanaaa!!!
 
Unajua manara ana hii tabia ya kuchonganisha watu pia ana tabia ya kuwapondea watu anapokuwa amezungukwa na watu, alishawai kumzungumzia vibaya Hersi ambaye ni Rais wa Yanga. Pia safari hii amewaponda sana Mabosi zake ambao ni GSM na Salaah na Wake zao.


View: https://youtu.be/j_9LbO4AGaA

mi naona hii ni mpango ya chama tawala 🤣
 
Unajua manara ana hii tabia ya kuchonganisha watu pia ana tabia ya kuwapondea watu anapokuwa amezungukwa na watu, alishawai kumzungumzia vibaya Hersi ambaye ni Rais wa Yanga. Pia safari hii amewaponda sana Mabosi zake ambao ni GSM na Salaah na Wake zao.


View: https://youtu.be/j_9LbO4AGaA

Looh, sijui snitch gani kam-fix
Akomee
 
Unajua manara ana hii tabia ya kuchonganisha watu pia ana tabia ya kuwapondea watu anapokuwa amezungukwa na watu, alishawai kumzungumzia vibaya Hersi ambaye ni Rais wa Yanga. Pia safari hii amewaponda sana Mabosi zake ambao ni GSM na Salaah na Wake zao.


View: https://youtu.be/j_9LbO4AGaA

1746117128348.png
 
Unajua manara ana hii tabia ya kuchonganisha watu pia ana tabia ya kuwapondea watu anapokuwa amezungukwa na watu, alishawai kumzungumzia vibaya Hersi ambaye ni Rais wa Yanga. Pia safari hii amewaponda sana Mabosi zake ambao ni GSM na Salaah na Wake zao.


View: https://youtu.be/j_9LbO4AGaA

Kummmk walai, shida ni unaanzaje kuwaangalia uliowadiss ukiwa mafichoni. Ubaya wa Diss za kizani ni huwa unafunguka full charge
 
Back
Top Bottom