Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 2,563
- 7,321
Unajua manara ana hii tabia ya kuchonganisha watu pia ana tabia ya kuwapondea watu anapokuwa amezungukwa na watu, alishawai kumzungumzia vibaya Hersi ambaye ni Rais wa Yanga. Pia safari hii amewaponda sana Mabosi zake ambao ni GSM na Salaah na Wake zao.
View: https://youtu.be/j_9LbO4AGaA
View: https://youtu.be/j_9LbO4AGaA