Manara kapigilia pale pale kwenye Msumari wa Master Jay kuwa Alikiba ni mbana pua

Manara kapigilia pale pale kwenye Msumari wa Master Jay kuwa Alikiba ni mbana pua

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
2,563
Reaction score
7,321
Toka miezi kadhaa tangu alikiba kuambiwa ni mbana pua na Master Jay, voice note zilizovuja zimeonesha Manara akigongelea msumari kuwa Alikiba ni mbana pua tu.

Inaonekana Alikiba ana maadui wengi sana, ni kama vile kipindi kile Diamond alivyokuwa na maadui wengi. Utofauti wa Alikiba na Diamond, Alikiba alazagi damu na uwa ana panick mapema, Diamond ni mtulivu na uwa anasubira



View: https://youtu.be/4Tdo9kbRzxI
 
Mleta mada ww ni mpumbavu na mpuuzi sijapata kuona, next time acha kuleta thread za hovyo kama hizi.
 
Toka miezi kadhaa tangu alikiba kuambiwa ni mbana pua na Master Jay, voice note zilizovuja zimeonesha Manara akigongelea msumari kuwa Alikiba ni mbana pua tu.

Inaonekana Alikiba ana maadui wengi sana, ni kama vile kipindi kile Diamond alivyokuwa na maadui wengi. Utofauti wa Alikiba na Diamond, Alikiba alazagi damu na uwa ana panick mapema, Diamond ni mtulivu na uwa anasubira



View: https://youtu.be/4Tdo9kbRzxI

Mkuu tumwagie voice notes zote maana nasikia kuna mengi huko
 
Mleta mada ww ni mpumbavu na mpuuzi sijapata kuona, next time acha kuleta thread za hovyo kama hizi.
Inahitaj mtu mwenye upungufu wa akili kumtukana mtu waziwazi kisa tu unaona mada aliyoleta haikufai ww.

Kuna weng tu wamepata hii taarifa hapa. Na ni taarifa kama taafifa zingine.
Sasa upuuzi na upumbavu wake ni upi?

Mhaya puuzia watu wa namna hii
 
Toka miezi kadhaa tangu alikiba kuambiwa ni mbana pua na Master Jay, voice note zilizovuja zimeonesha Manara akigongelea msumari kuwa Alikiba ni mbana pua tu.

Inaonekana Alikiba ana maadui wengi sana, ni kama vile kipindi kile Diamond alivyokuwa na maadui wengi. Utofauti wa Alikiba na Diamond, Alikiba alazagi damu na uwa ana panick mapema, Diamond ni mtulivu na uwa anasubira



View: https://youtu.be/4Tdo9kbRzxI

Chawa wapo kama sigara kali,sio wa kuwaamini njaa ndizo zinawafanya wakugande.
 
Toka miezi kadhaa tangu alikiba kuambiwa ni mbana pua na Master Jay, voice note zilizovuja zimeonesha Manara akigongelea msumari kuwa Alikiba ni mbana pua tu.

Inaonekana Alikiba ana maadui wengi sana, ni kama vile kipindi kile Diamond alivyokuwa na maadui wengi. Utofauti wa Alikiba na Diamond, Alikiba alazagi damu na uwa ana panick mapema, Diamond ni mtulivu na uwa anasubira



View: https://youtu.be/4Tdo9kbRzxI

Manara ni mental health ile…..
 
Binafsi sijawahi kumkubali Ali Kiba, kwangu mimi Mond ni msanii, Ali big no
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom