uwanjanikama kawaaa tunawakeraaaaaaaa
akiitwa zeruzeru tu mashabiki wake wanaanza kulia na moderators ,vilio vya uchungu hapo madai ya MZEE WA BANDARI hayajajibiwa hadi leo ila yeye bize kudai ajibiwe maswali yakeKimsingi Manara bado ana fikra za kizamani, anaamini maneno na chuki za mpira zinachangia katika kuimarisha timu.
Simba inaonekana dhahiri kuachana na utamaduni wa maneno! na imejikita zaidi katika kuboresha club na kuiendesha kitaalamu zaidi!
Kwa sasa maneno maneno hayana nafasi simba, na ndio mana hakuna anaye mjibu Manara vijimaneno vyake.
Anguko la ule usemaji wa aina ya kina Manara na Jerry naona ukififia taratibu, sabab timu zimejikita katika uendeshaji wa kitaalmu zaidi.
Jezi za Simba matangazo ya Mo products mengi kama timu za Sudani Kusini!
Jezi za Simba matangazo ya Mo products mengi kama timu za Sudani Kusini!