Kwa kuongezea katika post yangu hapo juu, kama wanunuzi hao wa nje watahamasika kuhusu makubaliano / mikataba kati yao na wakulima wa Tanzania, sisi wakulima tupo tayari kwa mchakato huo.
Uhakika wa soko ndio nguzo kuu katika kuendeleza kilimo kikubwa cha kibiashara.
Ukishapata response yao, utupe feedback ili tujue.