Wafanya biashara kutoka nje ya Tanzania wanataka kujua kama wanaweza kupata mananasi kutoka Tanzania. Mwenye kujua ni wapi yanapatikana kwa kiwango kizuri (quality & quantity) anijuze na kama kuna wafanya biashara ambao tiyari wanafanya shughuli hiyo ya kupeleka manasi nje niwasiliane nao.