MANAGER WA TRA KULINDA WAKWEPA KODI

MANAGER WA TRA KULINDA WAKWEPA KODI

kindagaten

Member
Joined
Jan 21, 2025
Posts
13
Reaction score
39
Manager wa TRA wa mkoa wa Kilimanjaro kushirikiana na wakwepa Kodi, Kuna vijana wamekamata mzigo ambao haujalipiwa Kodi na manager akawapigia vijana wa fast team kuwa wamwachie , na mzigo unashushwa sasahivi kiwanda Cha spirit pale Njia panda ya Machame. Wahusika mfatilieni huyu Manager wa Mkoa
 
Nongwa..............gubu.........wivu .............choyo..............hasira ............utakuja kupigwa jiwe la kizazi bila kumuona mrushaji
 
Manager wa TRA wa mkoa wa Kilimanjaro kushirikiana na wakwepa Kodi, Kuna vijana wamekamata mzigo ambao haujalipiwa Kodi na manager akawapigia vijana wa fast team kuwa wamwachie , na mzigo unashushwa sasahivi kiwanda Cha spirit pale Njia panda ya Machame. Wahusika mfatilieni huyu Manager wa Mkoa
Utakufa maskini milele
 
Manager wa TRA wa mkoa wa Kilimanjaro kushirikiana na wakwepa Kodi, Kuna vijana wamekamata mzigo ambao haujalipiwa Kodi na manager akawapigia vijana wa fast team kuwa wamwachie , na mzigo unashushwa sasahivi kiwanda Cha spirit pale Njia panda ya Machame. Wahusika mfatilieni huyu Manager wa Mkoa
Hilo sii lakuuliza ni mwendo wakula kwa urefu wa kwiaambaaa,nenda kwenye sehemu zilizotakiwa kusomana,ili kulipa tozo ,kodi na ushuru mbali mbali uone mizengwe yake ili nia ya mifumo kusomana isitimie ili wala kwa kamba ama maagizo ya kupata pesa za chafuzi yatimie?
 
Nongwa..............gubu.........wivu .............choyo..............hasira ............utakuja kupigwa jiwe la kizazi bila kumuona mrushaji
Swala la uzalendo hukulisoma nini? Pesa zikatujengee madaraja
 
Asipo jirekebisha nitaweka ushahidi wote hadharani. Mm ni mlipa Kodi kindakindaki alafu mtu anakwepa Kodi kizembe kutunisha matumbo yso
Weka huo ndio uzalendo wa kweli na sii uzalendo wa kimchongo au wa kimaslahi wa wanaccm
 
Na hii ndio Tanganyika ya CHURA YY Dalali je wateule wake?
KAZI ni kipimo cha utu
 
Asipo jirekebisha nitaweka ushahidi wote hadharani. Mm ni mlipa Kodi kindakindaki alafu mtu anakwepa Kodi kizembe kutunisha matumbo yso
Sasa Nini kimekuleta Kama huna na huweki ushahidi hapa? Au nawe unataka rushwa ili uweke huo ushahidi?
 
Tatizo hata zikishakusanywa zinaliwa pia yaani inategemea zinaliwa wapi; mwanzo, katikati au mwisho....

 
Sasa Nini kimekuleta Kama huna na huweki ushahidi hapa? Au nawe unataka rushwa ili uweke huo ushahidi?
Nitauweka hapa punde tu, ninaushahidi wa kutosha, nakamilisha mambo machache. Ni vema tuwe na wazalendo wa kweli wa Nchi yetu, tutafichua Kila Kona tuilinde Nchi yetu na mafisasi
 
Back
Top Bottom