Ulitakiwa kuanza na ushahidi siyo haya maneno kwamba una ushahidi utauweka.Nitauweka hapa punde tu, ninaushahidi wa kutosha, nakamilisha mambo machache. Ni vema tuwe na wazalendo wa kweli wa Nchi yetu, tutafichua Kila Kona tuilinde Nchi yetu na mafisasi
Watu Kama wewe hamfai kuitwa kwenye vikao vya maamuzi.