Jamani mimi nimeleta hii mada mwenye kuomba na aombe si unajua wengine hatuna dini ila tunaishi kwa kusaidiana mawazo na mambo mengine.Ni vyema tukawa makini na kuombeana nia ni kurekebisha madhaifu yetu.Soko landombolo limebana sasa wanaingia makanisani
Sijakuelewa kidogo mkuu.Unamaanisha welevu ni wale wanaoenda kwa toboa tobo na kuuza viungo vya albino?Wanaongezeka sababu wajinga wenye imani hizo wengi na hawataki kubadilika.
Du! siku hizi kuna manabii!!!!
Kaliwa huyo......................Huko KKKT Tabata wametokea manabii na watabiri hatari kidogo.Maombi yao yamejaa ukakasi kuna saa wanaombea watu utupu na kuna saa wanapiga watu hadi pepo zitoke.Kuna mafunuo ya kutisha kiasi cha kutilia hofu kwamba yanatoka kwa Mungu au shetwani.Haya nimeyapata kwa mtu aliyekumbana na hiyo zahama siku kadhaa zilizopita.
Huko KKKT Tabata wametokea manabii na watabiri hatari kidogo.Maombi yao yamejaa ukakasi kuna saa wanaombea watu utupu na kuna saa wanapiga watu hadi pepo zitoke.Kuna mafunuo ya kutisha kiasi cha kutilia hofu kwamba yanatoka kwa Mungu au shetwani.Haya nimeyapata kwa mtu aliyekumbana na hiyo zahama siku kadhaa zilizopita.
Ndio matatizo ya dini za kutengeneza kila siku inafanyiwa ammendment kama katiba
Kumbe ulitakiwa kwanza kuwauliza waumini wakujulishe utaratibu wa kutambulisha makanisa yao ni upi,Kimanga
Sijasema wanasali uchi kuna mtu alombewa kwenye chumba cha maombezi akajivua nguo huyo mkongo akasema mwacheni akavua zote ndipo akatokwa na hicho unachokiita pepo!!je ni wapi yesu alifanya hivyo?huo ufunuo ni wa Mungu!!?Je ni wapi biblia inalazimisha uchumba?Mathayo 24:24.je mke mwema au mume anatoka kwa Mungu au kwa mchungaji au mtumishi?Nina mengi tu sema 6ki kuyasema kwa heshima ya dini.Huu ni ukanjanja JF,watu wa aia yako wanaopata gossip vichochoroni na kuja hapa kujifanya wanaleta credible info ni hatari sana kwa jamii.Mimi ni Msharika wa Kimanga na nimewashuhudia hao watumishi wa Mungu unaowaita Wakongo akina Pastor Bwanga na Pastor Richard.Wamefanya huduma kwa mafanikio sana na kanisa limeweza kupata waumini zaidi kupitia ministry yao hata jana tu Jumapili kuna watu wanne wamebatizwa kutoka madhehebu na dini tofauti.
Tuhuma za kusali uchi ni u.puuzi wa watu toka katika huduma ambazo kwazo waumini wamehama na kujiunga na kanisa la KKKT na tuhuma za kupigwa ni uzushi usistahili chembe ya attention.Nimebahatika kuhudhuria semina za ndani zilizoisha last 2 weeks na zilikuwa na mafanikio makubwa kwani watu wameokoka,mapepo yametolewa vifungo vimevunjwa na waumini wamefaidika sana kiroho.
Basi hapo tumalizie kwa kusema hata wote waliomwendea Bwana Yesu sio wote walipona bali ni wale waliokuwa na imani tu,wengine walitoka na stori kama ile ya kumpaka mtu tope usoni akaambiwa akanawe,wale waliosubiri arudi walisimulia makuu ya Mungu, waliowahi kuondoka kwenda kusimulia walienda na maelezo kwambo Yesu anapaka watu matope.Huu ni ukanjanja JF,watu wa aia yako wanaopata gossip vichochoroni na kuja hapa kujifanya wanaleta credible info ni hatari sana kwa jamii.Mimi ni Msharika wa Kimanga na nimewashuhudia hao watumishi wa Mungu unaowaita Wakongo akina Pastor Bwanga na Pastor Richard.Wamefanya huduma kwa mafanikio sana na kanisa limeweza kupata waumini zaidi kupitia ministry yao hata jana tu Jumapili kuna watu wanne wamebatizwa kutoka madhehebu na dini tofauti.
Tuhuma za kusali uchi ni u.puuzi wa watu toka katika huduma ambazo kwazo waumini wamehama na kujiunga na kanisa la KKKT na tuhuma za kupigwa ni uzushi usistahili chembe ya attention.Nimebahatika kuhudhuria semina za ndani zilizoisha last 2 weeks na zilikuwa na mafanikio makubwa kwani watu wameokoka,mapepo yametolewa vifungo vimevunjwa na waumini wamefaidika sana kiroho.
Unajua watu wanaona pepo ni kitu kikubwa sana kumbe hata waganga wanalipua hizo pepo na zinasema kwamba tunatoka.Mimi naona mafunuo yanachanganya watu sana na wengi wanafanya matukio na sio maagizo ya MunguBasi hapo tumalizie kwa kusema hata wote waliomwendea Bwana Yesu sio wote walipona bali niMimie waliokuwa na imani tu,wengine walitoka na stori kama ile ya kumpaka mtu tope usoni akaambiwa akanawe,wale waliosubiri arudi walisimulia makuu ya Mungu, waliowahi kuondoka kwenda kusimulia walienda na maelezo kwambo Yesu anapaka watu matope.Yote ktk yote mambo ya imani tuiachie imani ifanye kazi.Laiti kama watu wangepigwa sachi hata watu maarufu tungeshangaa kukuta wamevaa mifupa ya kuku aliyekufa zamani lkn anawalinda binadamu walio hai.Nadhani mambo ya imani yuwaachie wenye imani.
Unajua watu wanaona pepo ni kitu kikubwa sana kumbe hata waganga wanalipua hizo pepo na zinasema kwamba tunatoka.
Ndio matatizo ya dini za kutengeneza kila siku inafanyiwa ammendment kama katiba
Mdau Rekebisha kauli yako Ukristo sio dini ya kutengenezwa.
Huko KKKT Tabata wametokea manabii na watabiri hatari kidogo.Maombi yao yamejaa ukakasi kuna saa wanaombea watu utupu na kuna saa wanapiga watu hadi pepo zitoke.Kuna mafunuo ya kutisha kiasi cha kutilia hofu kwamba yanatoka kwa Mungu au shetwani.Haya nimeyapata kwa mtu aliyekumbana na hiyo zahama siku kadhaa zilizopita.
Tusubiri kidogo, ukweli utajulikana, kama wameletwa au wamejiingiza. Kanisa ni taasisi kubwa.
Ndo shida na umaarufu ni shida nyingine,Hao wakongo wamekaa zaidi ya mwezi kwenye vipindi vya jioni na katikati ya wiki na wameshafanya semina pia.Tatizo wanalazimisha watu kuchumbiana hata kama hawapendani hili ni hatari sana.