dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,531
Kimanga
Ok km ni kimanga nitatinga huko then ntashuka na Taarifa zakutosha kabisa
Kimanga
Sijasema wanasali uchi kuna mtu alombewa kwenye chumba cha maombezi akajivua nguo huyo mkongo akasema mwacheni akavua zote ndipo akatokwa na hicho unachokiita pepo!!je ni wapi yesu alifanya hivyo?huo ufunuo ni wa Mungu!!?Je ni wapi biblia inalazimisha uchumba?Mathayo 24:24.je mke mwema au mume anatoka kwa Mungu au kwa mchungaji au mtumishi?Nina mengi tu sema 6ki kuyasema kwa heshima ya dini.
Ndio matatizo ya dini za kutengeneza kila siku inafanyiwa ammendment kama katiba
Ndo kwanza nimesikia kanisa KKKT kuwa na manabii
tumia busara yako kuchambuazipoje zisizo za kutengeneza?? Ni kama zipi labda
Tatizo wachungaji wetu wakisasa Pesa mbele kuliko huduma ndomana...