Manabii wa ajabu watokea KKKT Tabata

Manabii wa ajabu watokea KKKT Tabata

Usoka.one

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2013
Posts
770
Reaction score
374
Huko KKKT Tabata wametokea manabii na watabiri hatari kidogo.Maombi yao yamejaa ukakasi kuna saa wanaombea watu utupu na kuna saa wanapiga watu hadi pepo zitoke.Kuna mafunuo ya kutisha kiasi cha kutilia hofu kwamba yanatoka kwa Mungu au shetwani.Haya nimeyapata kwa mtu aliyekumbana na hiyo zahama siku kadhaa zilizopita.
 
Huko KKKT Tabata wametokea manabii na watabiri hatari kidogo.Maombi yao yamejaa ukakasi kuna saa wanaombea watu utupu na kuna saa wanapiga watu hadi pepo zitoke.Kuna mafunuo ya kutisha kiasi cha kutilia hofu kwamba yanatoka kwa Mungu au shetwani.Haya nimeyapata kwa mtu aliyekumbana na hiyo zahama siku kadhaa zilizopita.

Wanaongezeka sababu wajinga wenye imani hizo wengi na hawataki kubadilika.
 
hakuna shida, amini kile unachokiamini wewe!
 
Huko KKKT Tabata wametokea manabii na watabiri hatari kidogo.Maombi yao yamejaa ukakasi kuna saa wanaombea watu utupu na kuna saa wanapiga watu hadi pepo zitoke.Kuna mafunuo ya kutisha kiasi cha kutilia hofu kwamba yanatoka kwa Mungu au shetwani.Haya nimeyapata kwa mtu aliyekumbana na hiyo zahama siku kadhaa zilizopita.

Samahani mkuu, KKKT Tabata ni too general, unaweza kusema ni usharika upi hasa wa KKKT Tabata, maana kuna KKKT Matumbi, KKKT Kimanga, Segerea,Machimbo,Msimbazi,Highlands,Tabata Kisiwani. Unaweza kututajia ni ipi hasa, maana nimecheck na jamaa wa Tabata kuu hakuna kitu kama hicho.

Ili kuweka mambo vizuri, tujulishe ni KKKT Tabata ipi, mimi ni mdau wa Tabata Kuu.
 
Huko KKKT Tabata wametokea manabii na watabiri hatari kidogo.Maombi yao yamejaa ukakasi kuna saa wanaombea watu utupu na kuna saa wanapiga watu hadi pepo zitoke.Kuna mafunuo ya kutisha kiasi cha kutilia hofu kwamba yanatoka kwa Mungu au shetwani.Haya nimeyapata kwa mtu aliyekumbana na hiyo zahama siku kadhaa zilizopita.

Mkuu mbona hujafafanua ni Tabata ipi? Nahayo majanga yanafanyika kipindi gani cku za Ibada au ktkt ya wk ni muhimu kumulika km nikweli sababu wachungaji wa KKKT wengi wao kwa sasa ni wasaka TONGE tu wakawaida wanatamani kumiliki makanisa yao ili wapige NOTI
 
Kwa wasiowajua wakongo watashangaa, lakini wenzetu hao ni balaa kwa usanii, hata hivyo mankanisa ya KKKT Dar inabidi Mkuuu wao Askofu Malasussa ayaangalie sana kwani watu wengine wameyageuza kama yao binafsi, hayafanani na utamaduni wa kawaida wa KKKT. Unajua madhehebu maana yake halisi ni kuwa na utamaduni na mapokeo yake
 
Kwa wasiowajua wakongo watashangaa, lakini wenzetu hao ni balaa kwa usanii, hata hivyo mankanisa ya KKKT Dar inabidi Mkuuu wao Askofu Malasussa ayaangalie sana kwani watu wengine wameyageuza kama yao binafsi, hayafanani na utamaduni wa kawaida wa KKKT. Unajua madhehebu maana yake halisi ni kuwa na utamaduni na mapokeo yake

Tatizo wachungaji wetu wakisasa Pesa mbele kuliko huduma ndomana...
 
Tatizo wachungaji wetu wakisasa Pesa mbele kuliko huduma ndomana...
Ndo shida na umaarufu ni shida nyingine,Hao wakongo wamekaa zaidi ya mwezi kwenye vipindi vya jioni na katikati ya wiki na wameshafanya semina pia.Tatizo wanalazimisha watu kuchumbiana hata kama hawapendani hili ni hatari sana.
 
Samahani mkuu, KKKT Tabata ni too general, unaweza kusema ni usharika upi hasa wa KKKT Tabata, maana kuna KKKT Matumbi, KKKT Kimanga, Segerea,Machimbo,Msimbazi,Highlands,Tabata Kisiwani. Unaweza kututajia ni ipi hasa, maana nimecheck na jamaa wa Tabata kuu hakuna kitu kama hicho.

Ili kuweka mambo vizuri, tujulishe ni KKKT Tabata ipi, mimi ni mdau wa Tabata Kuu.
wew ni muumini mwenzangu,
huyu ni mwongo manake anaposema tbt asemi ipi, wanaitwa akina nani, walionekana lini nk
 
Ndo shida na umaarufu ni shida nyingine,Hao wakongo wamekaa zaidi ya mwezi kwenye vipindi vya jioni na katikati ya wiki na wameshafanya semina pia.Tatizo wanalazimisha watu kuchumbiana hata kama hawapendani hili ni hatari sana.

Ndugu mbona hutaji ni Tabata ipi? au na wewe umesikia kupitia redio mbao. Tutajie ni Tabata ipi mkuu. Yawezekana ni vikundi vya mitaani tu.
 
wew ni muumini mwenzangu,
huyu ni mwongo manake anaposema tbt asemi ipi, wanaitwa akina nani, walionekana lini nk

Ni kweli mimi ni muumini wa KKKT, usharika wa Tabata Kuu kama nilivyosema hapo juu. Na sijaona hao Wakongo kanisani kwetu, kama wanafanyia mitaani siwezi kujua. Kuna Moravian, kuna Anglican, Kuna TAG, kuna Prophecy, kuna RC, makanisa haya yote yapo eneo moja pale Tabata baada ya kupita Bima na kabla hujapita Barakuda.
 
Ni kweli mimi ni muumini wa KKKT, usharika wa Tabata Kuu kama nilivyosema hapo juu. Na sijaona hao Wakongo kanisani kwetu, kama wanafanyia mitaani siwezi kujua. Kuna Moravian, kuna Anglican, Kuna TAG, kuna Prophecy, kuna RC, makanisa haya yote yapo eneo moja pale Tabata baada ya kupita Bima na kabla hujapita Barakuda.
Kimanga
 
Haishangazi,
WAGALATIA mmezoea kudanganywa kirahisi
 
wew ni muumini mwenzangu,
huyu ni mwongo manake anaposema tbt asemi ipi, wanaitwa akina nani, walionekana lini nk

Mpendwa habari za kuwepo Wakongo Kimanga nimezipata. Nimempigia mdau wangu pale Kimanga kasema wapo yapata mwezi sasa. Naendelea na chimba chimba kujua kama ni kweli wanafanya hayo ambayo mdau kayataja.
 
Mpendwa habari za kuwepo Wakongo Kimanga nimezipata. Nimempigia mdau wangu pale Kimanga kasema wapo yapata mwezi sasa. Naendelea na chimba chimba kujua kama ni kweli wanafanya hayo ambayo mdau kayataja.

Mkuu
tunashukuru jaribu kufatilia kuhusu tuhuma zao.
 
Ndio matatizo ya dini za kutengeneza kila siku inafanyiwa ammendment kama katiba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom