Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Hata wewe unafanya kazi uliyotumwaWebb anafanya kazi aliyotumwa ... ...
Hata wewe unafanya kazi uliyotumwaWebb anafanya kazi aliyotumwa ... ...
duh Firstlady unawakilisha - upo na sisi -eee safi sanaMpira ni mkali na unavutia kuangalia ,lakini kutabiri mshindi wa leo dah
Kuna watu wanaongea sana ,nilikuwa GUEST nikaona nije kuwakilishahe... na wewe umefufuka?? hongereni wapinzani
haya sasa dakika saba hizo za babel na benayoun hata draw powa tu.
umeoga...Kuna watu wanaongea sana ,nilikuwa GUEST nikaona nije kuwakilisha
Hata wewe unafanya kazi uliyotumwa
Kuna watu wanaongea sana ,nilikuwa GUEST nikaona nije kuwakilisha
Hapana mimi najituma khe khe khe kheeeeeeee. Usichanganye mambo bana.
Unakuja sasa kono mbele kwa sababu mmebebwa kwa hali ya juu au siyo? Shukuruni lakini mwaka huu bado kazi mnayo mtabebwa hivi sijui hadi lini.
Pole na wewe na wengine wote mliokuwa against Man Upole mkuu de novo.