Duuuh! Siku hizi mchana kweupe inaruhusiwa kuona. Lakini kujipa moyo inaruhusiwa.Leo ndio ile siku ambayo Manure wanasema kwaheri kwa ubingwa wa mwaka huu...
Urudi hapa sio mnakimbia baada ya kula kichapo. Not again, not Man U and not in OT.utashangaa mwenyewe baada ya hayo unayofikiri kugeuka ndoto.