Man u baba lao

Man u baba lao

Nakapanya wenga leo kaona dakika 3 hazitoshi , alitaka kulia

unajua tatizo la Wenger ni kiburi,juzi alisema kwavile Fergie hayupo kwenye benchi bas refa atakuwa fair,sasa nashangaa jana na makoti yake akaenda kumzonga kamisaa kulalamikia dakika zilizoongzwa
 
NGOMA YA KITOTO HAIKESHI, VURUGU ZOTE ZA ASUBUHI LIGI INAKARIBIA SAA SITA 6 WATOTO WAMEANZA KUSINZIA, WAKATI HUO WATU WAZIMA NDIYO KWANZA WANAKITAFUTA KITI CHAO CHA KILA SIKU WAKALIE.

Arsenal waelewe kwamba "KITI CHA BABA SEBULENI HUWA KINAKALIWA NA MTOTO WAKATI BABA HAYUPO TU AKIRUDI SHURTI KUNG'ATUKA".
 
unajua tatizo la Wenger ni kiburi,juzi alisema kwavile Fergie hayupo kwenye benchi bas refa atakuwa fair,sasa nashangaa jana na makoti yake akaenda kumzonga kamisaa kulalamikia dakika zilizoongzwa
Yule atakuwa sio mzima kichwani, wakati wakulalamika muda kuongezwa angekuwa Moyes, badala yake analalamika yeye, je wangesawazisha angelalamika.
 
Man U walitaka kunisababaishia kitambi kinashtuka, nikaanza GYM mapema, haiwezekani kila mwaka wananipa raha tu, at least mwaka huu wameanza na speed ndogo kidogo nilipunguza mazoezi lakini kwa mwendo huu lazima nirudi GYM, MAN U inanipa raha sanaaaaaaaaa........
 
article-2498492-195633D400000578-467_634x591.jpg
 
Back
Top Bottom