grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Ahsante mkuu nimekupata lakini nina imani ukweli unao moyoni.Mwenye 100- atakula na mwenye 10,000- atakula na matokeo wote watalazimika kukitoa!!
Still you are ze great.Good luck
Ahsante mkuu nimekupata lakini nina imani ukweli unao moyoni.Mwenye 100- atakula na mwenye 10,000- atakula na matokeo wote watalazimika kukitoa!!
Still you are ze great.Good luck
Ahsant; Usokuwa na ukweli kuHeart huwaga heartless !! Mie soccer ya FA,PRMR Lg;English ball, hainifurahishi kiufundi....Ahsante mkuu nimekupata lakini nina imani ukweli unao moyoni.
mkuu. unafuraiya kumfunga kibonde wko? jipange asee! mambo mangum sana dis tym xax kaa mkao wakula. 8-1 adi 1-0 hali nimbaya xana kwako jopange:biggrin1:Jamani Dunia nzima inashangilia kwa ushindi dhidi ya Arsenal.hakika hakuna aliye kiwa ametalajia kama Man u itawajambisha Arsenal kiasi hicho.Duu Wenger kadata ni baraaaa.Arsenal hana historia ya kutufunga gooooooooooooooooooooooo!!!!! MAN U 1-O ARSENAR.POLEEEEEEEEEEEEEEEEEEW
sasa wew wafurai kufanya mapenz na mkeo? wkati kilacku wafany ivo?Nawaambia hw asenali mtu hatongozi mke wake