Man u baba lao

Man u baba lao

Eliezar Mlwafu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
449
Reaction score
140
Jamani Dunia nzima inashangilia kwa ushindi dhidi ya Arsenal.hakika hakuna aliye kiwa ametalajia kama Man u itawajambisha Arsenal kiasi hicho.Duu Wenger kadata ni baraaaa.Arsenal hana historia ya kutufunga gooooooooooooooooooooooo!!!!! MAN U 1-O ARSENAR.POLEEEEEEEEEEEEEEEEEEW
 
Yaani furaha niliyonayo haina mfano , walisema sana baada ya mechi na dortumund , wapanue midomo tena!!! Haaaaa haaaaa na bado wanakuja na southampton !!!
 
Nyoko nyoko zimekwisha mtaani sasa heshima imerudi

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Shughuli imekwisha man u kufungwa na arsenal ni jambo gumu sana ......gggg man u ...robin van persie.
 
AHLY Egypt amenyanyua juu KOMBE la AFRIKA Bingwa mara nane kwa kumchapa ORLANDO PRTS 3-1........ wakalale mbele waSauzi.!!!!!
 
Karukaruka kwa maharage ndiyo kuiva kwake
nadhani wote mmeona Arsenal ilivyoiva leo
mbaya zaidi tulitegemea sana tuifunge Arsenal.
 
Karukaruka kwa maharage ndiyo kuiva kwake
nadhani wote mmeona Arsenal ilivyoiva leo
mbaya zaidi tulitegemea sana tuifunge Arsenal.

Acha tu kuifunga Arsenal bali Van Persie kutupia GGMU
 
Ukitaka kuishi kwa raha duniani tena bira stress kuwa mshabiki wa .MAN U TU.nakwambia tena hakuna kiingilio
 
Sasa nina aman mtaani kwangu,walinipgia sana kelele,jana usku kimyaa...hadi sahz bado nimelala,usumbufu kwisha. Ggmu
 
Back
Top Bottom