fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,030
Mimi navaa kanzu na kibalaghashia lakini sina mpango wa kuwa Muislamu.Haaaa kaz kweli kweli, mm Mkristo
Nina kanzu, Kofia, na Msuli. Pia navaa sana.
Mimi navaa kanzu na kibalaghashia lakini sina mpango wa kuwa Muislamu.Haaaa kaz kweli kweli, mm Mkristo
Nina kanzu, Kofia, na Msuli. Pia navaa sana.
Du! kumbe kanzu zina aina!! ya bongoland ikoje?Nawewe toa uwongo wako hapo, hizo sio kanzu za Qatar hiyo kanzu ya Emirate,nani amekataa kama mkatoliki? Wapi nimekwambia amekuwa muislamu?
hujaelewa swali. vipi mzungu akivaa vazi la kimasai?Utamaduni wa philipino ni vazi la kanzu?
Kanzu ni sawa na overall ona mh. RC amepiga kanzu kwenda kufanya usafi!!
Du! kumbe kanzu zina aina!! ya bongoland ikoje?
Miafrika bwana ujinga tu ndo umewajaaOoh ndiyo maana tunamuona pengo na mapadre wake wakivaa hizo wanapokwenda wasafisha kondoo? Is it kondoo au... Maana Yesu alisema alitumwa kwa kondoo waliopotea wa wapi vile na mkate haufai kutupiwa nani vile?
Majanga.
Wewe mwana mpotevu nani alikuambia usilamu unahitaji ushabiki. Hii ni dini ya facts sio ubabaishaji wenu wa kihafidhina. Kuna watu wakisilimu wanaupa uislam nguvu hata mtume katika dua zake alikua akiomba umar r.a asilimu. Tunafurahi yeye kuepushwa na moto wa jahannamu. Una swali lingine mwana mpotevu ???Waislam bana, mnafurahi sana mtu maarufu akisilim kuliko asie maarufu, kwani kuna tofauti gani kati ya roho ya mtu maarufu na asie maarufu katika uislam?
Au ndio kusema mnataka watu maarufu wautangaze uislam uwe maarufu, basi kama ndio hivyo kuweni kama adidas au nike, walipeni watu maarufu wawe wanavaa baji yenyr nembo islam kama kina messi au ronaldo au john cina wawe wanautangaza uislam.
hivi kanzu ni dini au utamaduni?
Kinachompeleka mtu peponi ni matendo yake ila katika uislamu lazima umkubali Allah kwanza kama mungu muumba kisha ndo matendo yako yakubaliwe. Usipomkubali basi matendo yako hata yawe mfano wa mlima uhud hupati chochote zaidi ya mavumbi hata kama umejenga misikii laki8 hilo lote ni vumbi. Allah azidi kuwaongoza makafiri wajue njia sahihi. Tunashukuru Allah kwa hii neema ya uislamu.kinachompeleka mtu peponi ni dini au matendo?
coz unaweza kuwa una swali sana lakini matendo ni sifuri kutwa kushinda kwa waganga na kufuga.
nikipi haswa kinachompeleka mtu pepo ni uislamu,ukristo au matendo?
maana ya kafiri ni nini?Kinachompeleka mtu peponi ni matendo yake ila katika uislamu lazima umkubali Allah kwanza kama mungu muumba kisha ndo matendo yako yakubaliwe. Usipomkubali basi matendo yako hata yawe mfano wa mlima uhud hupati chochote zaidi ya mavumbi hata kama umejenga misikii laki8 hilo lote ni vumbi. Allah azidi kuwaongoza makafiri wajue njia sahihi. Tunashukuru Allah kwa hii neema ya uislamu.
Ni utamaduni pia usisahau ndo vazi Muslim wanapenda kulivaa.....unaweza vaa kanzu Na ukaenda bar ukalewa chakali hakuna atakayekushangaa kwa huko umangani, ila ukivaa kanzu huku kwetu ukaenda bar watu watakutolea machohivi kanzu ni dini au utamaduni?
Hongera zake kwa kufuata mfano wa Mohamed ali na Tyson, sasa ataenda peponi
kumbe dini humpeleka mtu peponi?Kwaiyo hapo alikuwa philipino?Utamaduni wa philipino ni vazi la kanzu?