Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Reference please.....Jina lake:Emanuel Pacquiao Dapidran a.k.a Pacquiao
Kazaliwa:17 - Dec-1978 Kabawai Philippine
Boxer wa kwanza kutoka katika bara la Asia kushinda tunzo 5 tofauti tofauti kwa uzito tofauti
Dini yake katoliki na mara nyingi huwa akishinda pambano lake bas hupeleka sadaka kanisan
Ila kwa sasa haswali tena kikatoliki na anajifunza Uislam ila bado haja silimu
Allah amuepesishie aukubali Uislam in shaa Allah![]()
Jamaa ameokoka, yuko very deep, ukiona anaingia msikitini ujue anamleta Kristo kwenye jamii yenu. Hata Papa aliingia msikitini na viatu na mkampigia makofi.
HALELUYAAAA