Man Pacquiao ndani ya kanzu

Man Pacquiao ndani ya kanzu

Status
Not open for further replies.
wewe hujui impact ya mtu maarufu katika jamii? hujiulizi kwa nini makampuni makubwa hutoa mabilioni kwa ajili yakutangaziwa biashara zao na watu maarufu? unadhani mangumbaru hawawaoni. rudi shule
Najua shule yangu huifikii, lakini nimesema kama ndio hivyo kwa nini msifanye kama nike au adidas au samsung muwalipe watu maarufu wawe wanavaa jezi au nembo yenye neno uislam ili wazidi kuutangaza?

Mbona ni rahisi tu kama mnataka kutumia watu maarufu wautangaze usialam, chukueni dili na epl muwe wazamini au eufa muitoe heinken, au mfadhili madrid wawatangaze wawe wanavaa jezi yenye neno uislam, hakika mtashangaa mtakavyokua maarufu, au mfadhili miss world, hapa tanzania anzeni na miss tanzania au bibi bomba.
 
Wewe mwana mpotevu nani alikuambia usilamu unahitaji ushabiki. Hii ni dini ya facts sio ubabaishaji wenu wa kihafidhina. Kuna watu wakisilimu wanaupa uislam nguvu hata mtume katika dua zake alikua akiomba umar r.a asilimu. Tunafurahi yeye kuepushwa na moto wa jahannamu. Una swali lingine mwana mpotevu ???
Huo moto wa jehanam uko sehem gani. Basi kama ndio hivyo fanyeni kama heinken au samsung, changeni pesa mlipe watu maarufu wautangaze uislam
 
Acha kupotosha watu hivyo...kanzu sio vazi la kiislamu na hakuna mahala imeandikwa kanzu ni vazi lenu... pacquiao ni mkatoliki na hata leo amepost na familia yake wanaenda kanisani, bado anatoa sadaka na zaka kama kawaida...
Mimi ni msabato na nina kanzu tano na naenda nazo kanisani vizuri kabisa...kanzu ni vazi kama ilivyo kuna nchi wanavaa sketi kama wanawake...achaga kabisa huu ujinga wa kupotosha watu ukidhani utaionja pepo kwa kukuta picha kisha unaungaunga stori zako za kijinga ili uonekane nawe muislamu swafi....
 
tuache kujivunia dini za waarabu,mayahudi na wazungu..
hakuna mahali ambapo mtu mweusi aliwahi kukosolewa ktk vitabu vitakatifu kama walivyokosolewa waarabu na mayahudi..
hivyo tupende mila zetu ikiwa ni pamoja na namna mababu walivyomuabudu Mungu na kupata majibu ya haraka kutoka kwa Mungu kuliko kumuomba kupitia hizi imani za kuigiza ambazo majibu yake ni indirect..
 
Jina lake:Emanuel Pacquiao Dapidran a.k.a Pacquiao
Kazaliwa:17 - Dec-1978 Kabawai Philippine
Boxer wa kwanza kutoka katika bara la Asia kushinda tunzo 5 tofauti tofauti kwa uzito tofauti
Dini yake katoliki na mara nyingi huwa akishinda pambano lake bas hupeleka sadaka kanisan
Ila kwa sasa haswali tena kikatoliki na anajifunza Uislam ila bado haja silimu

Allah amuepesishie aukubali Uislam in shaa Allah
a9ab556bd5741016d2117fed1063e756.jpg
Acha upuuzi wako hata mimi nimetoka kanisani na kuvaa hilo kanzu,ingia kwenye page take fb leo akiwa na familia yake wakielekea kanisani.
 
pole yake
Mi nakupa pole sana..zinduka. Uislam ndo dini ya haki hata Yesu alibashiri ujio wa Uislam sema tu wahuni waliibadilisha Injili wakaweka mambo wanayotaka wao kwa maslahi yao
Quran ipo moja tu na haibadiliki..lakini tazama bible..version kibaao na bado watu wanakaa vikao kuibadilisha.

Zinduka mkuu..tafakari sana juu ya hili.
 
Kama hujui kitu ni bora unyamaze brother, kanzu ni vazi la Kiarabu na alivaa alipoenda Qatar mwaka jana,
Huyu jamaa ni mkristo safi sana na kumwacha Yesu ni ngumu, kama ilivyo jina lake "EMMANUEL"...
MFUATILIE ZAIDI HAPA OFFICIAL PAGE YAKE: Manny Pacquiao

View attachment 342062
Nimekupenda bure kaka yangu,hiyo picha ya chini kaipiga leo asubuhi akienda kanisani. Mimi nawaomba wachangie tu kistaarabu maana jana nilikuwa naangalia documentary ya wakimbizi wa Syria na Libya wanavyokufa baharini wakikimbilia kwenye nchi za wakristu Ulaya huku wakiziepuka nchi za Waislamu. Kwa kifupi siku natoka kwenye ukiristu basi bora nikaabudu hata punda. Kwa namna Man anavyoipenda dini yake nilifikia hatua nikawa na wasiwasi kama atakuwa na muda hata wa mazoezi.
 
ha ha h ah a magufuli akimaliza kutumbua apige marufuku pia unywaji wa VIROBA maana kuna watu wanatupa sheeeda sana MITANDAONI
 
Uislamu dini ya haki. Karibu achana na wala nguruwe hao makafiri watakupeleka jahannam. Allah atuepushe na huu moto. Ameeeen

msongonoma;
Kweli nimefurahia sana mawazo yako. Bado kuna watu wenye fikra finyu ka zako leo?? Iweje, wakati akila nguruwe ashinde mataji 5 tofauti kwa wakati mmoja, apate sifa, uone kwamba sasa akiingia hiyo dini yako ya hak ndipo ataongeseka??
Tyson, yupo wapi baada ya kuvaa hiyo kanzu? Mody Ally aliishiaje baada ya kuivaa hiyo kanzu. Sipendi ubishi wa kidini na haswa na wenye mawazo finyu ka yako. Kwa Mungu hakuingiwi na kanzu wala mlo. Kanzu huisha ikanunuliwa nyengine, mlo huwa mavi ukaenda chooni. Wala hakuna mavi ya mlo wa wali na mavi ya mlo wa nguruwe. Yoote ni mbolea tu.
Anavyo kufa Juma maskini ndivyo atakavyokufa huyo kibopa na hela zake. Usimsifie mtu kwa sababu ya mataji yake. Kwa Mungu taji ni moja tu. Umekujaje hapa kwenye kiti cha hukumu?? Utajua la kujibu ila andaa majibu kabla.
 
Mi nakupa pole sana..zinduka. Uislam ndo dini ya haki hata Yesu alibashiri ujio wa Uislam sema tu wahuni waliibadilisha Injili wakaweka mambo wanayotaka wao kwa maslahi yao
Quran ipo moja tu na haibadiliki..lakini tazama bible..version kibaao na bado watu wanakaa vikao kuibadilisha.

Zinduka mkuu..tafakari sana juu ya hili.
Mimi nakuambia acha kudaganya watu. Kama hiyo dini niyahaki basi Maalim Seifu angekuwa raisi Zanzibar ambako waislamu wezako (wanaosali dini ya haki) wamekatalia madarakani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom