Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,354
- 829,592
Tuna imani kuu mbili duniani imani za kiroho na imani za kimwiliHaaaa kaz kweli kweli, mm Mkristo
Nina kanzu, Kofia, na Msuli. Pia navaa sana.
Imani za kiroho hujibidiisha kuitunza roho kwakuwa ni katika roho chemchemi ya uzima hutoka...kwao hawa mwili na vitu viharibikavyo havina nafasi kubwa...ukitakasa roho hata mwili utatakasika
Halafu kuna imani za kimapokeo na kutunza mwili na kuwa na kanuni kwenye kila kitu, kuvaa ganda ya uhalisia fulani usiopo ndani ya roho..hapa vitu kama mwili na mavazi hupewa kipaumbele kikubwa kwakuwa inaaminika ukitakasa mwili na roho itatakasika