Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Kwa takwimu za kuanzia mwaka 2012,katika hatua ya mtoano, Barca wamekuwa wakipoteza mechi nyingi za ugenini, na kusubiria kupindua matokeo katika mechi ya marudiano wakiwa kwao, rejea mechi Yao na Milan, PSG, Inter Milan ya Mourinho,n.k. Hivyo, takwimu na historia zinaonesha Barca wanapoteza mechi ya Leo. Hata hvyo huu ni mpira,tusubiri tuone lolote laweza tokea.
Leo umeshikwa! Huna ata shuti Moja kwa lango la Barc?
Wamekutana na timu bora iliyotoka kumpiga mtu bao 6-0!Leo wameonesha udhaifu sn!
Vp bila bila?
Ni mechi nzuri ambayo haina utabiri wa kirahisi..Ila Manchester City nawapa kete yangu kuweza kuibuka mshindi leo..Hii ni kutoka na kasi na nguvu ya uchezaji wao..City licha ya kumkosa Aguero na Fernandinho na nikiingalia safu ya ulinzi ya Barca sidhani kama Negredo au Jovetic au Dzeko kupata shida leo...Hii mechi itaamuliwa na ulinzi wa Barca...Nahisi Barca watapwaya nyuma ambapo itawapelekea kuadhibiwa leo.....
Wamekutana na timu bora iliyotoka kumpiga mtu bao 6-0!
Hakuna cha Plan wamezidiwa tu City!
Man city ameonesha udhaifu! Anaweza kupoteza hii game!
Fernandinho yupo baba