Man city Vs Barcelona @Etihad Stadium

Man city Vs Barcelona @Etihad Stadium

sio mbaya mpaka sasa nimeamini chama langu city linauwezo wakuitoa barca kwao kama tu hatutakuwa na red card.

Kwahiyo red card ndio chanzo cha kufungwa? Mbona hamkuwafunga kabla ya hiyo red card?

Ligi ina wenyewe hiyo! Na ngoja shehe Mansour akache na pesa zake, lazima mrudi kwenye nafasi yenu.

#WeeClub
 
Kwahiyo red card ndio chanzo cha kufungwa? Mbona hamkuwafunga kabla ya hiyo red card?

Angalia na upande wa pili ... mbona na wao (Barca) hawakufunga kabla ya red card? red card ndio chanzo cha kufunga?
 
Angalia na upande wa pili ... mbona na wao (Barca) hawakufunga kabla ya red card? red card ndio chanzo cha kufunga?

safi sana tatizo huyu jirani hakubaliani na city kabisa..
 
Kwahiyo red card ndio chanzo cha kufungwa? Mbona hamkuwafunga kabla ya hiyo red card?

Ligi ina wenyewe hiyo! Na ngoja shehe Mansour akache na pesa zake, lazima mrudi kwenye nafasi yenu.

#WeeClub

haya mwenye ligi utachukua enhee..
 
Kiukweli refa aliwanyonga city jana kwani ile move iliyosababisha penati sio ya halali kwani alichezewa rafu Navas wakaminya mpira ukapigwa mbele uka7bisha maafa,
pia Pique alimvuta Negredo kwenye box ila refa akapotezea!
Man city 0-2 barca
poleni ndugu zanguni kwani hakuna gumu chini ya jua mnaweza kumpiga kwao hata 3
 
If anyone is wondering why Barcelona got rid of Yaya Toure, just watch Sergio Busquets play a game of football. Phenomenal midfielder who is arguably the most underrated midfielder on the planet.

cc; gutierez ALEYN
 
Last edited by a moderator:
soka isingekuwa imetenda haki endapo man city ingepata hata droo kwa fc barca.
 
Back
Top Bottom