CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 943
Hatare mwana wane!LEO waarabu lazima tuwavue vilemba messi neymer alex sanches xavi iniesta full nondo catalunya
Cc ndetichia
Last edited by a moderator:
Hatare mwana wane!LEO waarabu lazima tuwavue vilemba messi neymer alex sanches xavi iniesta full nondo catalunya
viizuri sana mkuu..Ni mechi nzuri ambayo haina utabiri wa kirahisi..Ila Manchester City nawapa kete yangu kuweza kuibuka mshindi leo..Hii ni kutoka na kasi na nguvu ya uchezaji wao..City licha ya kumkosa Aguero na Fernandinho na nikiingalia safu ya ulinzi ya Barca sidhani kama Negredo au Jovetic au Dzeko kupata shida leo...Hii mechi itaamuliwa na ulinzi wa Barca...Nahisi Barca watapwaya nyuma ambapo itawapelekea kuadhibiwa leo.....
Ok,naomba baada ya game tusikimbiane hapa.hapa tushacheza na bingwa mtetezi na kala goli ije hii timu ya histori..
Naumia sana kumukosa aguero na flendinho
Naomba Puyor awekwe bench ili ampishe Alba,pia Neymar atokee bench.
Sina shaka busquets atatawala dimba la chini vema.