13hadithi
Member
- Aug 15, 2021
- 55
- 31
Habari wana JF,
Naomba mamlaka za RITA makao makuu zifanye uchunguzi wa kiutendaji katika taking la RITA MISUNGWI
Kwanza, Kuna mtu alienda kufanya marekebisho ya cheti Old to New wakamwambia ni Tsh 30,000 wakati control namba ni Tsh 7,000 achana na hapo toka 3/5/2025 mpaka leo tar 1/6/2025 still cheti kipo approved, tatizo ni nn..??
Issue ya pili, kwanini mtu aki-apply mwenyewe online hapewi kipaumbele kama wale wanaoenda kutoa Tsh 30,000 au mtuambie kuwa inabidi kwenda kutoa Tsh 30,000 ndo tupewe huduma, nimetuma vyeti vipya toka tar 20/05/2025 mpaka leo tar 1/6/2025 status inasoma new...
Nimefanya kazi Iringa, RITA Kilolo wanafanya kazi vizur sana, asa naomba msaada RITA Misungwi tujue shida ni nini...??
Naomba mamlaka za RITA makao makuu zifanye uchunguzi wa kiutendaji katika taking la RITA MISUNGWI
Kwanza, Kuna mtu alienda kufanya marekebisho ya cheti Old to New wakamwambia ni Tsh 30,000 wakati control namba ni Tsh 7,000 achana na hapo toka 3/5/2025 mpaka leo tar 1/6/2025 still cheti kipo approved, tatizo ni nn..??
Issue ya pili, kwanini mtu aki-apply mwenyewe online hapewi kipaumbele kama wale wanaoenda kutoa Tsh 30,000 au mtuambie kuwa inabidi kwenda kutoa Tsh 30,000 ndo tupewe huduma, nimetuma vyeti vipya toka tar 20/05/2025 mpaka leo tar 1/6/2025 status inasoma new...
Nimefanya kazi Iringa, RITA Kilolo wanafanya kazi vizur sana, asa naomba msaada RITA Misungwi tujue shida ni nini...??