Mamlaka tafadhali tunawasihi mtoe ruhusa daladala Mbezi....Muhimbili

Mamlaka tafadhali tunawasihi mtoe ruhusa daladala Mbezi....Muhimbili

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,673
Reaction score
14,052
Jambo hili lichukuliwe kama dharura,,,,Kwa sasa mwendokasi si rafiki kwa watu wenye changamoto za kiafya na wengi wetu hatuna mbadala wa usafiri toka maeneo husika uelekeo Muhimbili.

Kwa kweli tunawaomba, tena tunawasihi... si kuangalia ! bali kuruhusu,si daladala tu,...bali hata usafiri mbadala kama noah n.k.....hapa lengo ni kuokoa maisha ya watu,

Kwa leo nisiseme sana nikapoteza maana ya hili ombi la DHARURA,
 
Back
Top Bottom