Mamlaka husika waadhibuni Star Swahili

Mamlaka husika waadhibuni Star Swahili

Mkumbwa Jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2016
Posts
2,702
Reaction score
3,834
Kuna kituo cha runinga kijulikanacho kama Star Swahili kinaonesha filamu zisizoendana na maadili yetu.

Leo jumapili muda huu (saa tisa alasiri) kunafilamu inaonekana watu wanavuana nguo,kuna dada anafanya mambo ya ajabu

Hivi hawa wanaoruhusu hizi filamu zitumike hawana watoto?Wanataka tuwe na taifa la vipi jamani?

Mh.Mwakyembe simama imara hii kansa isienee kwa watoto wetu
 
Kuna kituo cha runinga kijulikanacho kama Star Swahili kinaonesha filamu zisizoendana na maadili yetu.

Leo jumapili muda huu (saa tisa alasiri) kunafilamu inaonekana watu wanavuana nguo,kuna dada anafanya mambo ya ajabu

Hivi hawa wanaoruhusu hizi filamu zitumike hawana watoto?Wanataka tuwe na taifa la vipi jamani?

Mh.Mwakyembe simama imara hii kansa isienee kwa watoto wetu
Pambana na hali yako, inakupunguzia nini? Wakiwafungia unapata ada za watot, pambana na hali yako
 
Ase ni kweli mimi mwenyewe hapa nimeinuka sebuleni nimewaacha watoto wanaangalia, yani ni aibu tupu. Tena nimepata wageni yani tumepata na butwaa hii filamu aise, mi nadhani ni uvivu wa kutunga story. Filamu za kihindi ni ndefu lkn ukuti mambo haya. Ni aibu sana.kwakweli
 
Kuna vitu vitatu kimoja wapo lazima vitakua kina kusumbua, 1 labda huna akili vizuri, 2 ni mtumwa wa fikra za kizungu, 3 huna family yani msela msela tu, kuanzia kukua kwako hadi kubalehe hadi sasa.
nasema pambana na hali yako, pambana na hali yako
 
Kuna vitu vitatu kimoja wapo lazima vitakua kina kusumbua, 1 labda huna akili vizuri, 2 ni mtumwa wa fikra za kizungu, 3 huna family yani msela msela tu, kuanzia kukua kwako hadi kubalehe hadi sasa.
Nitakutunana, endelea
 
Kwanini watoto wasiangalie vipindi vya watoto, hata wasipovua nguo filamu ya mapenzi unamuwekea mtoto ajifunze nini?? Wewe mzazi unayetakiwa kuchapwa viboko
 
Mie hata huo muda wa kuweka hizo channel sinaga maana najua hao wasanii hawana jipya kabisaa....
 
Kwanza unakaaje kuangalia bongo movie na watoto wako, hawakawii kukuharibia siku wale, mi sku hizi kuangalia tv na wazazi mwisho taarifa ya habari basi

Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana wanasemaga filamu hii ni ya miaka 18+, 16, 13 au ya kuangalia na familia n.k... Sa iweje filamu ya miaka 18 uachie watoto wa miaka 10? Pambana na hali yako.
 
Nimeona, nimekimbilia kubadilisha channel! Mbaya zaidi wanajua leo ni Jumapili kawaida family nzima inakuwa home! Nimekasirika sana!
 
Ase ni kweli mimi mwenyewe hapa nimeinuka sebuleni nimewaacha watoto wanaangalia, yani ni aibu tupu. Tena nimepata wageni yani tumepata na butwaa hii filamu aise, mi nadhani ni uvivu wa kutunga story. Filamu za kihindi ni ndefu lkn ukuti mambo haya. Ni aibu sana.kwakweli
Ila kabla ya movie wanatoa angalizo kuhusu category ya movie na ni umri gani wanastahili Ku watch

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom