tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
- Thread starter
- #21
kweli kabisa, tena ni watu wasiopenda kujifunza kabisa, viota vyao ni FB kutwa ku-upload picha ili wavune misifa.hawa mamiss wetu kwa mara ya mwisho kufaulu darasani ilikuwa ni mtihani wa darasa la nne. Baada ya hapo hamna kitu