Mamilioni ya Lowassa yaingia CHADEMA

Mamilioni ya Lowassa yaingia CHADEMA

Tz inatia huruma sana mmzarau Nyerere mtajuta sana tafute viongozi wenye kujaliwatu kwa kuwahimiza kusoma nakufanya kazi Lowasa anaamini bodaboda ndio ajira kweli utapatikanika
Hata fundi ujenzi baada ya miaka15 ijayo
 
maneno ya mpumbavuuu huishia kwa upumbavuuu, makamba rais wa TZ au chama cha waliofeli shuleni ????
 
This is pure trash. I regret having opened and read it. Aargh!!! Shit!
 
Nashitushwa sana na watu wanao amin kua kowasa anaweza kuongoza taifa hili ki ukweli watanzania ni wanafik sana yule mtu sio wa kumpa dhaman ile kubwa tena tumuchae aende chadema ambayo imaenza kufa huko lowasa ndo atapotelea kabisa
kama jk ameweza kuwa rais,basi hata mulugo anaweza,kuhusu ufisadi mbona jk naye fisadi.
 
nilisema baada ya issue ya zito kupoa, nyie book 7 mtakosa cha kupost humu ndani, ushahidi umeanza kuonekana.

swali na kwa hii post watakulipa kweli?
 
janja za kisiasa hizo anangojewa wakati muafaka kwa sasa wanaendelea na wengine, kama CCM watamshindwa na kumpitisha agombee basi watakumbana uwanjani
 
Mleta uzi unawaptosha watanzania na tena wewe ni wa kupuuzwa,maana inonekana unakakundi fulani ndani y c.c.m.

'hakuna raisi mwingine zaidi ya dk.slaa,kupitia chadema!'
 
janja za kisiasa hizo anangojewa wakati muafaka kwa sasa wanaendelea na wengine, kama ccm watamshindwa na kumpitisha agombee basi watakumbana uwanjani

kweli kabisa kijana wangu, kwa sasa chadema hatuna muda wa kupambana na mtu mmomoja.

Huu ni muda wa kuangamiza c.c.m yote,halafu 2015 ndiyo tutaanza na watakaye mpitisha.
 
Baada ya kuupitia uzi huu NIMECHEKA ALMANUSURA KUCHANA MBAVU !
 
Baada ya kusoma nimeelewa tu kuwa mtoa hoja anasumbuliwa na mchafuko wa tumbo
 
Kuna watu wanadhani hii mada nimeileta kishabiki bila utafit na wengine kuhoji elimu yangu. Mara nying msomi hawez kuwa na mawazo dhaifu ya kuhoji mtoa mada au mchangia hoja ana elimu gani, na ndio maana vitabu vingi vinavyoandikwa na wasomi hutakuta baada ya jina la mwandishi aandike yeye ni profesa au dk. ndo uamini yale aliyoyaandika. Kuna aina nyingi za ushahidi ukiwemo wa kimazingira na mada hii au utata wa pande hizo unathibitishwa kimazingira kwanza. Hii ni kwasababu mipango michafu huwa haisaniwi kwa mikataba ya kuitwa waandishi. kikubwa wanajamvi msiukimbie ukweli. Pokea taarifa mpya endeleza uchunguzi kisha fanya maamuzi sahihi. KUMBUKA TANZANIA TUITAKAYO HAIWEZI KULETWA NA MAFISADI WALEWALE KWA POROJO ZILEZILE. matokeo ya uongozi uliopo sasa huwezi kuyatenganisha na lowasa. Tusijifanye vipofu kwenye zaidi ya bilioni 200 za RICHMOND na bilioni 133 za EPPA.

hebu ngoja nkuulize we umeleta hii maada kama msomi lazima utoe na suluhu, ushauri wa hoja yako au recommendation tujue sasa unaleta hoka kama sio msomi au ulikuwa unatumia honda??

Hivi unadhani ile ishu ya RICHMOND na EPA ingefatiliwa unadhan zile pesa alikuwa anakula Lowasa tu?? tumia akili kufikiri ule ni mchongo wa watu wengi ungejiulza kama kampuni ilikuwa hewa mitambo mbona tunaitumia mpaka leo?? Lowasa alijitolea tu kujitoa kafara na huenda alilipwa kwa hilo au akawa kila mwsho wa mwezi analipwa kwa kujiuzuru kwake ishu ilikuwa inaelekea kubaya.

halaf kaa ujiulize kwanini Mwakyembe aliwekewa sumu unadhani ni mpango wa Lowasa?? umeangalia upande mmoja hela zile walikuwa wanakula watu wa juu wengi hata uncle Sam anahusika 100%
 
umekariri ndugu yangu makamba sio kama lowasa ambaye kila mda anawewesekea uraisi mpaka yuko tayar hata kuweka rehani familia ili aupate alipe mikopo aliyochukua wakat wa kuanzisha richmond na dowans. 2015 vijana ikulu bila rushwa inawezekana

Swali ni je utampitisha wewe huyo Makamba?maana umeshupalia kweli.
 
Utumbo mtupu !

Mods Tafadhali ondoa huu Upuuzi.

Mtu anaandika tuhuma nzito bila hata ushahidi Na bado mods mnaona Sawa, Au kwa vile ni against Chadema Na huyu Ni mtu Wa Lumumba?
 
Mura edgar chacha, mbona unatuangusha wa kwetu? Vipi tena unaongea mambo ya ajabu ajabu kama haya! Alianza Wasira, akaingia Wilson, akafuatia Werema...hata na wewe Chacha! Hapo kwenye www unaingiaje?
 
Mawaziri mizigo wataondolewa lini?...
 
Shule za siku hizi bhana! Unawezaje kuandika tuhuma kama hizi na kutaka kuaminisha wasomaji wako kwa kutumia mifano midhaifu isiyo na tija? huoni kama unapoteza muda na kujaza seva?
 
Back
Top Bottom