Mamilioni ya Lowassa yaingia CHADEMA

Mamilioni ya Lowassa yaingia CHADEMA

Jana kuna mzee nilikua NAE alinipa mengi sana ikiwa ni pamoja maandishi alio yaacha mwalimu kua nchi inapendeza sana ikiwa inaongozwa na kijana kwan hata mimi niliingia kama kijana maneno machache yalio nukuliwa na mwalimu pia mengi tuliyaona kwa marehemu mwalimu sasa jaman vijana ni fursa kwetu kupata the another mwalimu janaury makamba
 
ndo tabu ya vibabu vinakaa vinaelewana kirahc havijali shida za vijana. Huu mda wa vijana no way out makamba is our next CP.
 
Mleta mada alikuwa kwenye ndoto, eti the great M4C imsapoti fisadi PAPA Lowassa?
 
Unauliza akipita nn kitajr. Atajilipa pesa zooote za kampeni. Vijana acheni uzombi tusaport vijana wenzetu
 
hakuna cha lowasa wala slaa 2015 ni mda wa vijana. Tutamtupia makamba j magogoni nyi angaiken na vikongwe tu
Hahahahahahahahaaaa............Duh!!!
mkishamtupia huyo...mtupieni Le Mutuz uwaziri mkuu kabisa.
ili Mmoja aki twit mwingine ana blog.....kudadeki.

Hivi mnafikiri uongozi ni twitter na blog sio?
 
We ni mbumbumbu kichwan. possiblely hata drs la kwanza hujaingia.hizo buku7 za lumumba zina kusumbua

Hivi ni busara kutumia JF kutukana watu? Huyu ndg kajenga hoja nzito tena yenye mashiko, wewe badala ya kupibga kwa hoja unaanza kashfa, eti mara buku 7, mara mbumbumbu, mara drs la kwanza! Jifunzeni kujenga hoja, kama hamuwezi mnaacha hakuna mashitaka.
 
Hahahahahahahahaaaa............Duh!!!
mkishamtupia huyo...mtupieni Le Mutuz uwaziri mkuu kabisa.
ili Mmoja aki twit mwingine ana blog.....kudadeki.

Hivi mnafikiri uongozi ni twitter na blog sio
?

Le Mutuz ni mzee, sasa kwa vile ana blog ndio unamuita kijana!!
 
Kama hujaona kaulize Bumbuli na Uvccm ndo utajua mda wa wazee kwa heri kitu MAkamba ww!

Kuwagawia Uvccm simu za Samsung alizohongwa na makampuni ya simu ndio qualification ya kugombea kuteuliwa kugombea urais!! Hana vision ya uongozi na ni mtoaji na mpokeaji rushwa kama ilivyodhihilika wakati wa uchaguzi wa ubunge wa Bumbuli 2010 !! Sifa hizi zinamuondolea uhalali wa kuwa kiongozi ccm wa nyumba kumi licha ya nchi!!
 
Le Mutuz ni mzee, sasa kwa vile ana blog ndio unamuita kijana!!

Unasema huyu ni mzee??!
Angalia yupo na akina nani hapo..
1390565554013.jpg
 
Kiukwel nyota ya lowasa iko juu kama kweli atagombea kupitia chama chochote mim binafsi nitampa kura yangu.hamtakaa mkanieleza kitu juu ya lowasa nikawaelewa yuko juu
 
Nashitushwa sana na watu wanao amin kua kowasa anaweza kuongoza taifa hili ki ukweli watanzania ni wanafik sana yule mtu sio wa kumpa dhaman ile kubwa tena tumuchae aende chadema ambayo imaenza kufa huko lowasa ndo atapotelea kabisa
Chadema imeanza kufa? Kweli nyie mna roho ngumu kama kenge! Subiri uchaguzi ujao wa madiwani. Kama hamtaleta wizi wenu na uvurugaji majibu utayapata bila chenga.
 
Hahahahahahahahaaaa............Duh!!!
mkishamtupia huyo...mtupieni Le Mutuz uwaziri mkuu kabisa.
ili Mmoja aki twit mwingine ana blog.....kudadeki.

Hivi mnafikiri uongozi ni twitter na blog sio?

Hahahaa..!
 
Mbowe kweli wewe filauni mkubwa kumbe ndio sababu ya kumwazibu Zitto aisee nimevunjika sana moyo na upinzani wa nchi hii,lol nawewe mzee lowassa utatuua umeme umetupandishia lol
 
binafsi naomba niweke wazi huyu jamaa mimi sio mpiga kura wake!
lakini kwa tetesi zilivyo ndani ya chama chake hakuna wa kumzuia na kibaya zaidi tumebaki wapinzani kuzungumzia huyu jamaa hafai ccm haifai lakini bado sijaona nani atasimama na huyu mtu ikiwa wadanganyika tushazoea kuuza utu wetu kwa fedha! hii ni hatari sana!
jamaa amejipanga na kunatetesi watu wa kaskazini haijalishi wanatoka chama gani ilimradi anatoka huko wengi wako tayari kummunga mkono
sasa sijui wana siasa wanatupeleka wapi wameamua kabisa kwa roho moja kupeleka gari letu mtaloni.
 
Kuwagawia Uvccm simu za Samsung alizohongwa na makampuni ya simu ndio qualification ya kugombea kuteuliwa kugombea urais!! Hana vision ya uongozi na ni mtoaji na mpokeaji rushwa kama ilivyodhihilika wakati wa uchaguzi wa ubunge wa Bumbuli 2010 !! Sifa hizi zinamuondolea uhalali wa kuwa kiongozi ccm wa nyumba kumi licha ya nchi!!

umekariri ndugu yangu makamba sio kama lowasa ambaye kila mda anawewesekea uraisi mpaka yuko tayar hata kuweka rehani familia ili aupate alipe mikopo aliyochukua wakat wa kuanzisha richmond na dowans. 2015 vijana ikulu bila rushwa inawezekana
 
Kiukwel nyota ya lowasa iko juu kama kweli atagombea kupitia chama chochote mim binafsi nitampa kura yangu.hamtakaa mkanieleza kitu juu ya lowasa nikawaelewa yuko juu

Hamna anayekueleza kitu hapa tunajadili hoja kwa manufaa ya tz tuitakayo lakini mtu akiamua nyekundu ni nyeupe na akafundishwa nyekundu ni nyekundu uamuz wa kubadilika au kutobadilika ni wa kwake. Thanx mleta tuzidi kuwajua watia nia na madhaifu yao
 
Kweli rushwa kama kula nyama ya mtu. Nakumbuka kauli ya wasira kuwa chadema haitavuka 2015 kweli kwisha habari ya CHADEMA na Lowasa au ndio wanapeana shavu kisa ukanda? Ni mtazamo tu!
 
Mleta mada alikuwa kwenye ndoto, eti the great M4C imsapoti fisadi PAPA Lowassa?

Ndugu umesoma hilo gazeti alilotaja mtoa mada? M nimesoma na ndo ukiyatafakari kwa kina kuna kitu ambacho wafuasi wa chadema hawajashtukia. So wakimpa chance kugombea kupitia chadema utafanyaje maana wanachadema wengi ni zidumu fikra za mbowe na slaa. Mnawaamini mpaka hamtaki kufikiria zaidi.
 
Zitto ana angaika sana nani hasiyejua kuwa Lowasa, Rosti n Miguu ambaye ndie ela upitia kwake ni wamoja? Laana ipo juu yake.

Ata ji army sana mwaka huu lakini mtu mwenye akili anaweza kumuelewa maana na jaama lazima wamdamp to sewerage system.
 
Back
Top Bottom