Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Maendeleo gani mnataka wakati nyie mnata uhuru na haki ya kubinua viuno.Duu tutasubiri saana maendeleo tukiwa na upeo kama hawa.
Ni hatari kwa Taifa.
Maendeleo ya vitu ili mpate maendeleo ya watu mmekataa sasa mnapinga kauli ya mgombea wenu?