Mambosasa: Waliobeba mabegi Vituo vya Kupigia Kura walitoka Mikoani, walipanga baada ya kupiga kura warudi

Aliyeuliza sijui kama alidhamiria au ni bahati mbaya kamtega Mambosasa.

Anayetakiwa kujibia maswala ya uchaguzi ni Mambosasa au Mahera? Mtego easy Mambosasa kauvagaa.

Jibu rahisi lingekua "Bado tunachunguza" au "Sina mamlaka ya kujibia uchaguzi"
 
Taarifa ya habari TBC imeonyesha Kamanda Lazaro akijibu maswali ya waandishi wa habari kuhusu matukio ya Uchaguzi Mkuu upande wa Dar es Salaam.

Kupitia TBC Kamanda wa Polisi kanda ya DSM Lazaro Mambosasa amedai kuwa watu waliokuwa wameenda na mabegi kwenye kituo cha kupigia kura walikuwa wametoka mikoani hivyo walipanga baada ya kupiga kura warudi mikoani.

My Take: Haaa haaa Aisee
 

Attachments

  • VID-20201103-WA0000.mp4
    919.5 KB
Aliyeuliza sijui kama alidhamiria au ni bahati mbaya kamtega Mambosasa.

Anayetakiwa kujibia maswala ya uchaguzi ni Mambosasa au Mahera? Mtego easy Mambosasa kauvagaa.

Jibu rahisi lingekua "Bado tunachunguza" au "Sina mamlaka ya kujibia uchaguzi"
Mambo SASA baada Tu ya kupiga Kura siku ya tarehe 28 akiongea na waandishi alidai wananchi wamechagua maendeleo. Unaweza jua jukumu la Magu kushinda lilikua mikononi mwake yeye na tume ya Mahera.Makada wasimamizi walikuwa na Kura zao, polisi wakahakikisha zimeingia kwenye masanduku. Halafu hawa mbwa wanaziita nu uchaguzi.
 
Taarifa ya habari TBC imeonyesha Kamanda Lazaro akijibu maswali ya waandishi wa habari kuhusu matukio ya Uchaguzi Mkuu upande wa Dar es Salaam.

Kupitia TBC Kamanda wa Polisi kanda ya DSM Lazaro Mambosasa amedai kuwa watu waliokuwa wameenda na mabegi kwenye kituo cha kupigia kura walikuwa wametoka mikoani hivyo walipanga baada ya kupiga kura warudi mikoani.

My Take: Haaa haaa Aisee
Nikifikiriacho mimi huenda Mambosasa ni dalali wa kupatanisha dau ambalo serikali itawapa wapinzani ili wasiandamane. Njia nzuri ni kuwakamata na kufika bei wakitoka wamepoa na chao mfukoni.
Kinachonifanya ni amini hivyo ni huu ukamataji wa kiboyaboya anaoufanya mambosasa. Eti mtu yupo Mbeya kasema atsandamana kamanda wa dar ndio anataka kukamata. Hii ni janja ya kuwaita na kufika nao bei maisha yaende
 
Nikifikiriacho mimi huenda Mambosasa ni dalali wa kupatanisha dau ambalo serikali itawapa wapinzani ili wasiandamane. Njia nzuri ni kuwakamata na kufika bei wakitoka wamepoa na chao mfukoni.
Kinachonifanya ni amini hivyo ni huu ukamataji wa kiboyaboya anaoufanya mambosasa. Eti mtu yupo Mbeya kasema atsandamana kamanda wa dar ndio anataka kukamata. Hii ni janja ya kuwaita na kufika nao bei maisha yaende
Ilo nalo neno. Wanasiasa wetu sio wakuwaamini..nilitegemea baada ya dhamana wangeongea, kuna kitu wamekubaliana, na hata ili lakureport tarehe 5 ni mpango jamaa aapishwe salama.
 
Taarifa ya habari TBC imeonyesha Kamanda Lazaro akijibu maswali ya waandishi wa habari kuhusu matukio ya Uchaguzi Mkuu upande wa Dar es Salaam.

Kupitia TBC Kamanda wa Polisi kanda ya DSM Lazaro Mambosasa amedai kuwa watu waliokuwa wameenda na mabegi kwenye kituo cha kupigia kura walikuwa wametoka mikoani hivyo walipanga baada ya kupiga kura warudi mikoani.

My Take: Haaa haaa Aisee
Imeisha hiyo. Tuliposema kuwa 2020 tunatafuta upinzani wa kijinga hamkutuamini. Imeisha hiyo
 
Ilo nalo neno..wanasiasa wetu sio wakuwaamini..nilitegemea baada ya dhamana wangeongea,kuna kitu wamekubaliana,na hata ili lakureport tarehe 5 ni mpango jamaa aapishwe salama.
Nachokihisi wanasiasa wote wanaoonekana wameumizwa na matokeo haya watafika bei tu dalali mambosasa yupo. Toka lini polisi wakaenda studio ya habari na mtuhumiwa kukiri kosa. Yeyote mwenye ushawishi wa watu anapesa zake. Muda utaamua
 
Taarifa ya habari TBC imeonyesha Kamanda Lazaro akijibu maswali ya waandishi wa habari kuhusu matukio ya Uchaguzi Mkuu upande wa Dar es Salaam.

Kupitia TBC Kamanda wa Polisi kanda ya DSM Lazaro Mambosasa amedai kuwa watu waliokuwa wameenda na mabegi kwenye kituo cha kupigia kura walikuwa wametoka mikoani hivyo walipanga baada ya kupiga kura warudi mikoani.

My Take: Haaa haaa Aisee
Tatizo letu watanzania tumekosa ukweli, uongo ndiyo umekuwa msingi wa maisha yetu. Baba hazungumzi ukweli wala mama hazungumzi ukweli na watoto nao ni waongo, majirani ndiyo kabisa, waliyopewa madaraka hawana ukweli, viongozi wa dini nao halikadhalika, hivyo unatarajia nchi itakwenda vipi?
Uongo ndiyo tatizo kubwa kabisa lenye kusababisha rushwa, wizi, utapeli, kesi za kubambikiza, maporomoko ya maadili, magomvi kwenye familia, kukosekana kwa haki, uvunjifu wa amani n.k.
Tubadilikeni, ikiwa ukweli hautaweza kutusaidia basi uongo ndiyo kabisa.
 
Dar iliongozwa na Mkuu wa mkoa kituko na kamishna wa Polisi Utopolo. Wakaona aibu wakaondoa kituko wakaacha Utopolo. Sasa mkuu wa mkoa mwenye busara anawezaje kufanya kazi na Zezeta kama hili?
 
Back
Top Bottom