tulia we dada mbona unawashwawashwa sanaMaandamano yamefeli tena. Tatizo muwe mnawasoma watanzania walivyo
tulia we dada mbona unawashwawashwa sanaMaandamano yamefeli tena. Tatizo muwe mnawasoma watanzania walivyo
Nchi ya ajabu sijawahi kuona, hata maandamano ya amani ambayo ni haki ya kikatiba yanazuiliwaWengi makazi yao ni Dar, majimboni walikaa kwa shughuli za ubunge. Hii nchi vipi hii.
Tuma picha hapo ulipo tuone kama kweli umeandamana!Haya ni maandamano yasiyokuwa na kikomo....leo ndio siku ya kwanza, aluta continua hadi Oktoba 2025. Anayedhani ataweza kuyazima maandamano haya anajichosha bure. Bora kuanzisha njia za kidiplomasia ili kupunguza makali ya maandamano siku za usoni.
Wanazidi kumuweka Beberu Amsterdam busy.Nchi ya ajabu sijawahi kuona, hata maandamano ya amani ambayo ni haki ya kikatiba yanazuiliwa
Hii ni Aibu sasa mambo sasa anawapangia wapinzani pa kuishi ? ICC ifanyie kazi unyanyasaji huo ili iwe fundishoKamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.
Dar NO. Arusha watamgambolizeLema nenda Arusha ukakinukishe huko huko Kamanda, wapiga kura wako ambao kura zao "ziliibiwa" watakuunga mkono,!
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada hupiga magoti na kuwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu uonevu unyanyasaji uovu mateso ya CCM kwa wapinzani ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani CCM ni mbuzi jikeWanazidi kumuweka Beberu Amsterdam busy.
Rubbish, kwani mtanzania anapangiwa pa kuishi?Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.
Aibu kubwa Polisiccm wameogopa vibaya mpaka wamekuwa vinara wa kuyatangaza hayo maandamano kuliko hata wapinzani wenyeweNchi ya ajabu sijawahi kuona, hata maandamano ya amani ambayo ni haki ya kikatiba yanazuiliwa
Kwakua Amsterdam ni mwanasheria wa Lissu, CCM wanamuita beberu.CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada hupiga magoti na kuwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu uonevu unyanyasaji uovu mateso ya CCM kwa wapinzani ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
ICC imwangazie mambosasa haraka ili iwe fundishoRubbish, kwani mtanzania anapangiwa pa kuishi?
Nchi ya ajabu sijawahi kuona, hata maandamano ya amani ambayo ni haki ya kikatiba yanazuiliwa
tulia we dada mbona unawashwawashwa sana
CCM Mzungu yeyote anayekataa unyama udikiteta wao humwita Beberu utazani wao CCM ni mbuzi jikeKwakua Amsterdam ni mwanasheria wa Lissu, CCM wanamuita beberu.
Beberu ameiambia dunia yanayoendelea Tanzania sasa hivi mpaka bunge la Uingereza linajadili uchaguzi wa 2020 Tanzania.CCM Mzungu yeyote anayekataa unyama udikiteta wao humwita Beberu utazani wao CCM ni mbuzi jike
Hizi ni Kejeli na haziwezi kwisha mpaka yatokee ya kutokea.